ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,044
- 49,727
Hali ya Wasiwasi na mvutano kati ya Ethiopia na Somalia imezidi kuchukua sura Mpya baada ya Vikosi vya Usalama Vya Ethiopia kuharibu kumzuia Rais wa Somalia Mahmoud Hassan kuingia kwenye Mkutano Mkuu wa Viongozi wa Nchi na Serikali unaendelea Mjini Addis Ababa.(AU Summit).
Hali hii inafuatia Ethiopia kutaka kumiliki Ardhi ya Somalia Kupitia Jimbo lililojitenga la Somaliland ambapo Somalia imepinga vikali na Kuendesha kampeni kubwa ya Kidiplomasia na Msaada wa kijeshi Ili kumpambania Ardhi yake isinyakuliwe.
View: https://twitter.com/Kenyans/status/1758886030189453809?t=uCNX_OmbfLugPWk2lkMu9A&s=19
My Take
AU ihamishe Makao Makuu yake kuja Arusha Tanzania Kwa sababu Ethiopia imepoyeza uhalali wa kuwa Makao Makuu Kwa kuingilia uhuru wa Nchi nyingine na kuwa kinara wa migogoro.
View: https://twitter.com/africaupdates/status/1759112514707620180?t=_X-rQoJ7GJakYCiTx_b-Hg&s=19
Hali hii inafuatia Ethiopia kutaka kumiliki Ardhi ya Somalia Kupitia Jimbo lililojitenga la Somaliland ambapo Somalia imepinga vikali na Kuendesha kampeni kubwa ya Kidiplomasia na Msaada wa kijeshi Ili kumpambania Ardhi yake isinyakuliwe.
View: https://twitter.com/Kenyans/status/1758886030189453809?t=uCNX_OmbfLugPWk2lkMu9A&s=19
My Take
AU ihamishe Makao Makuu yake kuja Arusha Tanzania Kwa sababu Ethiopia imepoyeza uhalali wa kuwa Makao Makuu Kwa kuingilia uhuru wa Nchi nyingine na kuwa kinara wa migogoro.
View: https://twitter.com/africaupdates/status/1759112514707620180?t=_X-rQoJ7GJakYCiTx_b-Hg&s=19