macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,864
- 39,763
Siro aliwaingiza madarakani kwa kusimamia uporaji wa kura watathubutu kumfanya chochote?Shida bunge letu limekuwa la wapiga kelele. Wataongea weeh mambo yatabakia vilevile.
Siro aliwaingiza madarakani kwa kusimamia uporaji wa kura watathubutu kumfanya chochote?Shida bunge letu limekuwa la wapiga kelele. Wataongea weeh mambo yatabakia vilevile.
Hawa hawakujileta, hapo kuna mtu aliwaleta.Hawa kina Bulaya na wasaliti wenzake inaelekea sasa wataimaliza miaka yao mitano bungeni bila shida yoyote.
Maridhiano ilikuwa janja ya kisiasa kutuzubaisha tuone mama anatuunganisha, kumbe alikuwa anatukusanya vizuri ili tukishajaa kwenye mtego atulipue.
Ok, nikirudi kwenye hoja ya Bulaya anasema Sirro arudishwe aje kujibu tuhuma dhidi yake kuhusu bil 1 iliyopotea mikononi mwake, atuambie pia, yeye na wenzake 18 pale bungeni mpaka leo wameshakula kiasi gani cha pesa kama mishahara na posho zao? je, hiki kiasi hakijapotea mikononi mwao? hawastahili kuhojiwa kwa upotevu huo?
Kwa hali hiyo hapo juu, ajiulize kama yeye na wenzake wanayo credibility yoyote ya kuhoji juu ya upotevu wa pesa utakaofanywa na serikali ya CCM, ikiwa hata nao wanatumiwa na CCM hiyo hiyo kupoteza pesa za walipa kodi kule bungeni.
Kumbe hata wewe ni mwizi?😁😁Nchi ilishajiozea hiii
Kila mtu mwiziiiii
Watoto vijana wote wanataka kuwa wezi
Ova
Sirro ni mtoto wa Mjini,alivyokuwa Mkuu wa Upelelezi Magomeni wauza unga wote walikuwa wanaripoti kwake,ilikuwa ole wako Askari mdogo umkamate muuza unga Kinondoni au Magomeni fasta atapigiwa simu na kuingilia kati kuwasaidia wauza unga,hivyo ni mtoto wa Mjini haswaIla sirro alikua mbabe hatari
Hili nalo ni tatizo kuwaza kuwa vijana hawana uwezo, kwanini Umewaza wasanii ambao hawana elimu ya kujitosheleza, tuna wahitimu wazuri sana katika kusimamia rasilmali za taifa washindwe nini, uzoefu unapatikanaje sasa, hapana wewe ndiyo hujawaza kimtazamo chanya tunataka vijana wagombanie fursa hizi ubalozi sio lazima awe mzee au wastaafu bali vijana tuna uwezo mkubwa sana, kama umeji underrate basi ni weweKijana gani utampa ubalozi? pad au ubalozi wa nchi? Wakina dulla makabila? Au diamond? Au jokate?
Sometimes kuna vitu kabla hamjaandika hata google kwanza. Ili thread hata ipate uzito mzee mwenzangu. Tafadhari.
Hawana moral authority kuhoji hayo, na hizo kelele bungeni tunaona ni maigizo tu. Anaotaka wamchukulie Sirro hatua, ndio wanaowafumbia macho wao kuendelea kuwa bungeni.Uwepo wao Bungeni usipoteze ukweli kuwa alichohoji kina umuhimu
Yaani ni recycling ya hatari.Mtu akistaafu arudi Nyumbani akatulie Siyo Vizuri kuwapa vyeo tena.