Ester Matiko ananiumiza

Status
Not open for further replies.

oldonyo

JF-Expert Member
Aug 11, 2011
549
86
Asalaam walekhum wanajamvi!dah leo nimeamua kutoa dukuduku langu humu ili mnisaidie,sasa nimetokea kumpenda mbunge wa viti maalum cdm ester matiko,uyu binti jinsi anavoongea,alivo sura yake na umri wake umenifanya nichanganyikiwe vp member mnaweza kuni Pm namba yake walau mwanenu nikae au kuna mtu anataarifa zake au alisoma nae?
 
Weka picha yake nimthaminshe kwanza ndo niku pm number yake! Si kuja na ndoto za alfajri hapa
 
Asalaam walekhum wanajamvi!dah leo nimeamua kutoa dukuduku langu humu ili mnisaidie,sasa nimetokea kumpenda mbunge wa viti maalum cdm ester matiko,uyu binti jinsi anavoongea,alivo sura yake na umri wake umenifanya nichanganyikiwe vp member mnaweza kuni Pm namba yake walau mwanenu nikae au kuna mtu anataarifa zake au alisoma nae?

mke wa mtu huyo, mi kanifundisha na kipindi hicho alikuwa mjamzito{2009/2010}. Ila sikushangai maana ilikuwa balaa akiingia class, ule mguu wake ndo balaa zaidi.
 
Asalaam walekhum wanajamvi!dah leo nimeamua kutoa dukuduku langu humu ili mnisaidie,sasa nimetokea kumpenda mbunge wa viti maalum cdm ester matiko,uyu binti jinsi anavoongea,alivo sura yake na umri wake umenifanya nichanganyikiwe vp member mnaweza kuni Pm namba yake walau mwanenu nikae au kuna mtu anataarifa zake au alisoma nae?

OLDONYO mbona kuna kidume kishajiweka pale?au unataka upambane nae?
 
Laama zingine bwana, huyo mke wa mtu wewe unashoboka wa nini? Imagine mwanaume kama wewe anapiga hesabu za kupata mkeo/GF wako utajisikiaje? Sometimes hekima itumike usiwe mbinafsi wa kufikiri.

Nawacilisha.

CD
 
Inawezekana jamaa hakujua kama ni mke wa mtu...

Inabidi arudi hapa kueleza kuwa amebadili nia, halafu kama anataka kuendelea na mpango wake aendelee kimya kimya manake cku hz wake za watu wanaliwaliwa tu kwa kutojiheshimu kwao. Ila yule dada anajiheshimu sana tofauti na lile li Bulaya linalohangaika hadi saa 8 usiku
 
yule dada ni noumer,kama sio mkurya vile!


Usidharau dada zetu ni warembo sana wewe nani alikuambia wakurya sio? ha ha ha tuko juu mnasema wakorofi lakini mnapenda dada zetu teh sheeeemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Inabidi atuambia kama yuko serious kweli aseme. Kuna dada mmoja wanafanana naye kila kitu, kama yuko tayari kubadili msimamo mi nikutambulishe harafu wewe utaendelea.
 
Namba ya Mtu sio shida mkuu unaweza kupewa ila umeshaambiwa ni mke wa mtu ,tumia busara achaa hayo mambo ya wake za watu tena kujitangazia hapa JF , sio Vizuri bana !

Ushauri tuu kaka ,maana sikio la ............!
 
Usidharau dada zetu ni warembo sana wewe nani alikuambia wakurya sio? ha ha ha tuko juu mnasema wakorofi lakini mnapenda dada zetu teh sheeeemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

hata oni nu mukrya ndenge mura,oyo nu muiseke weito nyamwabho!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom