- Thread starter
- #21
Kiukweli nimeumia sana kusikia huyu dada kaolewa,unajua mpaka nimeandika vile ni kwasababu nimekuwa rafiki yake mda mrefu kwenye fb so nikawa nashindwa kumuuliza kuhusu swala la mahusiano na nikawa naogopa hata kumuomba contact zake nikiofia anaweza kunidelete ila na appreciate jf member kwa kuwa wawazi thankx kwa michango yenu nimeielewa na nafikiria ester will be my sister tangu leo asanteni sana.