Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
"Mhe Mwenyekiti shirika letu la ndege kwa miaka mitatu mfululizo imetengeneza hasara ya Billioni 316 unajua ni kwa sababu gani shirika halina mpango wa kibiashara Hizi pesa zingeweza kujenga shule mia moja na kuajili walimu 1000 ccm imeishiwa pumzi