Ester Bulaya: Shirika letu la ndege kwa miaka mitatu mfululizo imetengeneza hasara ya Billioni 316. Hizi pesa zingeweza kujenga shule mia moja

Kuna faida ya Serikali na ya ATCL. Tambua ATCL inalipa gharama za ukodishaji serikalini kwa hiyo inawezekana serikali ndio imepata faida.
Mkuu, hawa makamanda wengi humu ni empty sets. Yaani ni bora wabaki kwenye safu yao kumpigia zumari Mhaini Tundu kuliko kuchanganua mambo haya ya kitaalam.
Esther Bulaya hana uelewa hata wa faida ya mahesabu ya Bajaj kwa wiki achilia mbali kuchambua Payback period ya kampuni kama ATCL.
Huwa wanapenyeshewa makabrasha na kupayuka bila kufanya research.
 
Hahaha huwa nacheka sana nikisikia kuna mapokezi ya ndege na watu wanafanya kabisa kusimamisha shughuli eti kwenda kupokea ndege.

Kiujumla ni kuwa hakuna kinachofanyika zaidi ya hasara tu. Nilishasema hili shirika litakufa tena kifo kibaya. Ambae haamini aweke hii kumbukumbu.

Gharama za uendeshaji na pesa inayoingia ukiweka difference ni -ve. Ni hasara tupu. Huwezi kurusha ndege ya abiria 100 kutoka Dar kwenda Mwanza ikiwa na watu 10 utegemee kupata faida. Never.
Kuna siku nilistaajabu sana sio mimi tu hata waliokuwa siti za pembeni yangu tulitoka mwanza saa 2 usiku kuja Dar na Dreamliner likiwa na abiria ambao hawafiki 60 ( picha ninazo tatizo nashindwa kuziweka hapa sabb zinamuonyesha pia mtumishi mmoja wa Atcl ambaye ananifahamu vizuri) nikajiuliza nani anatoa gharama ya uendeshwaji wa Ndege hiyo kutokana na uchache wa abiria. Linalofanyika ndani ya Atcl ni sawa na kuvaa suti ya mtaliano ya gharama kubwa huku ndani ukivaa chupi lililotoboka (mdabwada)
 
Hahaha huwa nacheka sana nikisikia kuna mapokezi ya ndege na watu wanafanya kabisa kusimamisha shughuli eti kwenda kupokea ndege.

Kiujumla ni kuwa hakuna kinachofanyika zaidi ya hasara tu. Nilishasema hili shirika litakufa tena kifo kibaya. Ambae haamini aweke hii kumbukumbu.

Gharama za uendeshaji na pesa inayoingia ukiweka difference ni -ve. Ni hasara tupu. Huwezi kurusha ndege ya abiria 100 kutoka Dar kwenda Mwanza ikiwa na watu 10 utegemee kupata faida. Never.
Ndege ya mwanza abiria 9? Lini hiyo? Maana watu huwa tunakosa tiketi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha huwa nacheka sana nikisikia kuna mapokezi ya ndege na watu wanafanya kabisa kusimamisha shughuli eti kwenda kupokea ndege.

Kiujumla ni kuwa hakuna kinachofanyika zaidi ya hasara tu. Nilishasema hili shirika litakufa tena kifo kibaya. Ambae haamini aweke hii kumbukumbu.

Gharama za uendeshaji na pesa inayoingia ukiweka difference ni -ve. Ni hasara tupu. Huwezi kurusha ndege ya abiria 100 kutoka Dar kwenda Mwanza ikiwa na watu 10 utegemee kupata faida. Never.
Mkuu hakuna biashara kubwa yenye kuleta faida ndani ya mwaka mmoja au miwili.

Bill Gates ambaye ni bilionea wa leo, alianza biashara mwaka 1975. Matajiri wengi unaowasoma kwenye forbes, safari zao mpaka wakafika walipo huwa ni ndefu.

Hakuna njia ya mkato mkuu, uvumilivu ndio mpango mzima.
 
Mkuu hakuna biashara kubwa yenye kuleta faida ndani ya mwaka mmoja au miwili.

Bill Gates ambaye ni bilionea wa leo, alianza biashara mwaka 1975. Matajiri wengi unaowasoma kwenye forbes, safari zao mpaka wakafika walipo huwa ni ndefu.

Hakuna njia ya mkato mkuu, uvumilivu ndio mpango mzima.
Unapoongelea mtu binafsi ni tofauti na taasisi mkuu.

Apply yourself, huwezi kufananisha serikali na mtu binafsi.
 
Walioanzisha kibatari na kukitembeza nchi nzima Mungu anawaona. Naona kama kinapumbaza akili za watu.
Haya yote yanatokea bado anaitwa mzalendo mchapakazi.
Huyu hasara kaanza kutuletea tangu akiwa Nyapara wa samaki mpaka barabara.
 
Unapoongelea mtu binafsi ni tofauti na taasisi mkuu.

Apply yourself, huwezi kufananisha serikali na mtu cinafsi.
Huo ni mfano tu mkuu, ujumbe ni kwamba hakuna chenye faida ambacho kinakuja kama mvua tu. Kwenye uvumilivu ndipo wabongo tunapochemka.

Mwaka 2002 Brazil waliifunga Ujerumani magoli 2-0 kule Japan na wakatwaa kombe. Ujerumani wakajipanga na kuanzisha timu imara za vijana, ambao ndio walikuja kuwatandika Brazil magoli 7-1 tena kwao. Kina Ozil, Schurrle ni matunda ya maandalizi ya miaka zaidi ya 10.

Tuwape muda wakurugenzi wa ATCL wafanye kazi, kumbuka bosi wa shirika hili alikuwa kule Senegal akifanya kazi ya maana tu, aweze kufanya kazi ugenini halafu ashindwe kuleta mapinduzi nyumbani alikozaliwa!. Wapishi wengi huharibu chakula.
 
Hivi unapofanya investment, unaanza kuhesabu faida baada ya kurudisha pesa yote ya investment plus running costs au kabla ya kurudisha pesa ya investment?
kwa maneno yako naamini mwisho wake unaenda kwe KU-BREAK EVEN. kwa uelewa wangu mdogo huwezi kubreak even kama unarecord loss kwenye vitabu vyako. naamini yafaa urecord profit ambayo inaenda kulipa lets say mkopo ndipo sasa ulimaliza kulipa investment cost ndio unaanza ku earn profit, yaani mradi unaanza kujiendesha.kama unarecord hasara kabla ya kutoa gharama za mkopo, achana na hiyo biashara
 
Huo ni mfano tu mkuu, ujumbe ni kwamba hakuna chenye faida ambacho kinakuja kama mvua tu. Kwenye uvumilivu ndipo wabongo tunapochemka.

Mwaka 2002 Brazil waliifunga Ujerumani magoli 2-0 kule Japan na wakatwaa kombe. Ujerumani wakajipanga na kuanzisha timu imara za vijana, ambao ndio walikuja kuwatandika Brazil magoli 7-1 tena kwao. Kina Ozil, Schurrle ni matunda ya maandalizi ya miaka zaidi ya 10.

Tuwape muda wakurugenzi wa ATCL wafanye kazi, kumbuka bosi wa shirika hili alikuwa kule Senegal akifanya kazi ya maana tu, aweze kufanya kazi ugenini halafu ashindwe kuleta mapinduzi nyumbani alikozaliwa!. Wapishi wengi huharibu chakula.
ongelea pia TIDO MHANDO na wengine, walitolewa nje ili waje wasaidie nyumbani, sasa sina hakika kama malengo yalifikiwa, hebu tujuze
 
Ukiogopa hasara huwezi kufanya biashara - CDM tuacheni CCM tuwape kipendwacho roho - hamkuwahi kuwa na shukurani
 
Waliyojitoa muhanga ndio wenyeujasiri wa kuweza kueleza ukweli unaofichwa kuhusu ndenge, wenzangu na mimi ambao hawana hata wafadhiri wa kuwapeleka Ubeligiji hawawezi kuthubutu kutoa siri.
 
Hivi unapofanya investment, unaanza kuhesabu faida baada ya kurudisha pesa yote ya investment plus running costs au kabla ya kurudisha pesa ya investment?

Uta wekezaje kama huna Mtaji wa kutosha kuwekeza Mkuu !!?

Unapotaka kuruka agana na Nyonga kwanza ..
 
Back
Top Bottom