Estar Bulaya aachiwa huru

Estar Bulaya aachiwa huru

Ana nn hii hawa haki na sheria muhimu sana tii utaratibu zilizowekwa ana usharoobaro tupu hanajipya Bunda Tu nataka kazi sio maneno na majungu ya ukawa
 
Ana nn hii hawa haki na sheria muhimu sana tii utaratibu zilizowekwa ana usharoobaro tupu hanajipya Bunda Tu nataka kazi sio maneno na majungu ya ukawa
Mlimshoka kwasababu zipi? Hiyo garama ndio watanzania walipe?
 
Ester ni shujaa ! Kamgaragaza wasira uraiani na mahakama zote , ile kuu na ile ya rufaa na leo tena kaligaragaza jeshi la polisi ! hivi gharama walizotumia kumkamata huyu dada na kumsafirisha kishujaa namna ile inaweza kutengeneza madawati mangapi ?
 
Ester ni shujaa ! Kamgaragaza wasira uraiani na mahakama zote , ile kuu na ile ya rufaa na leo tena kaligaragaza jeshi la polisi ! hivi gharama walizotumia kumkamata huyu dada na kumsafirisha kishujaa namna ile inaweza kutengeneza madawati mangapi ?
Ndio maana tunasema hawamu hii ndio mwisho wa ccm
 
Wanaacha kumkamata Mfanyakazi hewa wa BOT ..91. yupo Bungeni miaka zaidi ya 5 sasa lakini mshahara wa BOT ulikua unaingia mpaka mwezi uliopita kachukua. Only in Tanzania.!
 
MATUMIZI MABAYA YA STATE
RESOURCES.



Unamkamata Bulaya Mwanza
unatumia mafuta ya serikali
na polisi pia nauli ya ndege
kumpeleka dar halafu
unamfikisha anaachiwa!!!!
Ndugai, polisi na ccm ni
majipu.
#Eti wanabana matumizi.
Nilikuwa najiuliza gharama zote hizo za nini?
 
angekuwa rais ni muislamu ungesikia matamko ya mababa paroko hadi muda huu wapo kimya

hasa suala la zanzibar angeshinda mkristo halafu muislam hatak kuachia ungesikia matamko ya wanafiki mala ooo gaidi umeya jiji la dar maparoko kimyaaaaaa kwakuwa nchi ipo chini ya mkristo mana ni wazee wa matamko
aliyekuwa akihamasisha makanisan asichaguliwe rais kutoka cuf leo ni wazir wa magu unategemea kuna haki apo?
sasa si uwashuri mashehe watoe matamko????
 
Tatizo la Ester kaangusha mbuyu wenye mizimu mingi sasa inamfuata fuata.

Inabidi tumkinge kwa maombi na dua maana kuhamisha makazi ya mizimu iliyojichimbia tangu enzi za uhuru siyo kazi ndogo.
Kwahiyo ule aliyeuwangusha ni karumanzira?
 
Wanaacha kumkamata Mfanyakazi hewa wa BOT ..91. yupo Bungeni miaka zaidi ya 5 sasa lakini mshahara wa BOT ulikua unaingia mpaka mwezi uliopita kachukua. Only in Tanzania.!
Duh! Nilidhani kuna mtu alikuwa anachukua kwa jina lake kumbe ni yeye mwenyewe? Wonders shall never end mkuu
 
Tatizo la Ester kaangusha mbuyu wenye mizimu mingi sasa inamfuata fuata.

Inabidi tumkinge kwa maombi na dua maana kuhamisha makazi ya mizimu iliyojichimbia tangu enzi za uhuru siyo kazi ndogo.
niko serious nahitaji kujua kosa alilokuwa charged nalo...so hizo rhetorics
 
Back
Top Bottom