mizarb
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,401
- 1,280
Awaui bila sababu..mbinguni imewekwa kwa ajili yao sasa kama ujui.waisrael ndio wanaongoza kwa kuua watu...moto wa jehanam unawasubiri
pole sana mkuu hebu tupe na za huyo Simba kwa ufupi kidogoNimemkumbuka Mbwa wangu "Simba". R.I.P
Mkuu hilo swali linaihusu nchi yetu au nchi za wenzetu?Mimi najiuliza tu hivi radar inaweza kukamata/ kushuku wanajeshi wa miavuli?
Yaani chukulia mfano ma spy wateremshwe kwa njia ya mwamvuli kutoka kwenye ndege kisha waingie nchini na vile sehem nyingi hapa nchini wazungu huchukuliwa kama watalii au wawekezaji
Je tutaweza kujua kama kuna watu wameingia pasi na vibali?
DahMkuu hilo swali linaihusu nchi yetu au nchi za wenzetu?
Kama ni hizi nchi zetu za kiafrika, kwanini wajihangaishe kiasi hicho wakati milango ipo wazi kabisa tena tutawapitisha kwa kuwapigia makofi na kuwatafutia hadi sehemu za kulala!
......
Hujui hata wewe ni mnyama?Tai yupo kundi la ndege siyo wanyama
-thinkpad-
Na sisi tunao wale Kunguru wa Zanzibar, hatuwezi kuwatumia?
Nalifahamu hilo, kwa nini mashirika ya haki za wanyama na binadamu yawe tofauti?Hujui hata wewe ni mnyama?
Sisi tutafika hizi level sijui lini
Balaa sana
Wayahudi wanapewa boost na AmericansIsrael wamebobea kila nyanja, na kama ni kweli wamemuuwa, usishangae Israel wakalipiza kisasi kwa kulipua kambi ya jeshi ya serikali....
Sisi tuna mapanya pale Apopo SUA yanategua mabomu mkuu!Na sisi tunao wale Kunguru wa Zanzibar, hatuwezi kuwatumia?
Tena niwepesi sana katika Mambo ya udokozi wa nyamaNa sisi tunao wale Kunguru wa Zanzibar, hatuwezi kuwatumia?
Sure mkuu, wanaweza kufanya kazi nzuri.
Hao ni kunguru wa Zanzibar?Sure mkuu, wanaweza kufanya kazi nzuri.
Tz iko vzr kuliko hata uijuavyo..... usidhani kua hatumendewi ila tunajua kuwadhibiti tena kimya kimya..... Usiichukulie poa Tz yetu.Mimi najiuliza tu hivi radar inaweza kukamata/ kushuku wanajeshi wa miavuli?
Yaani chukulia mfano ma spy wateremshwe kwa njia ya mwamvuli kutoka kwenye ndege kisha waingie nchini na vile sehem nyingi hapa nchini wazungu huchukuliwa kama watalii au wawekezaji
Je tutaweza kujua kama kuna watu wameingia pasi na vibali?