witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Hatareee...Syria wawe makini tunapoelekea hata panya atatumwa kuwaspy!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatareee...Syria wawe makini tunapoelekea hata panya atatumwa kuwaspy!
Haaaa haaaaaAwaui bila sababu..mbinguni imewekwa kwa ajili yao sasa kama ujui.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaNa sisi tunao wale Kunguru wa Zanzibar, hatuwezi kuwatumia?
Yale yanajua kula chupi tuNa sisi tunao wale Kunguru wa Zanzibar, hatuwezi kuwatumia?
yeah bt ssshhhhh!!!
Kwa muonekano wa huyo ndege sio Tai,huyo ndege kwa lugha ya kiingereza anaitwa Vulture ingawa kwa Kiswahili chake naye sijui anaitwaje,labda mwenye uwelewa atusaidie,wana tabia zinazofanana za kukaa angani muda mwingi akizungukia mahali pamoja muda mrefu akiwinda mlo wake.Ila nimeipenda hiyo mbinu ya kutumia kiumbe ndege kwenye maswala ya ujasusi..View attachment 559381
Upinzani nchini Syria watangaza kumuua ndege aliyetumiwa na Israel kufanya shughuli za kijasusi nchini Syria
Upinzani nchini Syria umetangaza kumpiga risasi ndege aina ya Tai aliyekuwa anatumiwa na Israel kufanya ujasusi katika kanda hiyo .
Ndege huyo anasemekana kuonekana maeneo ya Idlib karibu na mpaka wa Uturuki.
Vikosi vya upinzani vilimuua ndege huyo kwa risasi baada ya kugundua kuwa alikuwa anapaa na kuzunguka eneo moja katika kanda hiyo .
Ndege huyo alikuwa amewekwa kamera na vifaa vya uchuguzi katika mwili wake .
Syria imekuwa ikikumbwa na vita kwaa miaka 6 sasa .
Source: Syrian opposition shoot down Israeli 'spy' bird near Turkish border
Hiyo ndiyo Israel. Hapa tz kuna ndege wengi sana hasa mwambao wa ziwa Tanganyika wana bangili miguuni ina maandishi na namba hadi nchi wanakotoka. Huwa hawaogopi watu ishara ya kuwa wamezoea kuishi na watu. Nimeshuhudia ndege huyo mkoani katavi eneo la Ikola karibu na kigango cha jeshi ikola miaka ya 2006.Kwa muonekano wa huyo ndege sio Tai,huyo ndege kwa lugha ya kiingereza anaitwa Vulgar ingawa kwa Kiswahili chake naye sijui anaitwaje,labda mwenye uwelewa atusaidie,wana tabia zinazofanana za kukaa angani muda mwingi akizungukia mahali pamoja muda mrefu akiwinda mlo wake.Ila nimeipenda hiyo mbinu ya kutumia kiumbe ndege kwenye maswala ya ujasusi..
Ni mnyama ila sio mamalia wewe JumaTai yupo kundi la ndege siyo wanyama
-thinkpad-
Watashambulia brigade nzima ya jeshi,wewe subiri tu.Wanasema ukiua muisrael moja wanalipiza kuua adui mia, sasa sijui kwa afande cpl Njiwa malipizo itakuwa nini!?
Uko sawa ndgHiyo ndiyo Israel. Hapa tz kuna ndege wengi sana hasa mwambao wa ziwa Tanganyika wana bangili miguuni ina maandishi na namba hadi nchi wanakotoka. Huwa hawaogopi watu ishara ya kuwa wamezoea kuishi na watu. Nimeshuhudia ndege huyo mkoani katavi eneo la Ikola karibu na kigango cha jeshi ikola miaka ya 2006.
Ndege huyo alipelekwa morogoro baada ya kuuawa lakini inasemekana nchi husika hiyo ya ulaya waliwaka sana ndege wao kuuawa. Hatari.
Huyo ndie Tai kwa kiingereza anajilikana kama Bald headed Vulture. Mbuga zetu za wanyama wamejaa hao wana sifa ya uvimilivu sana hasa muda wanaosubiri mizoga baada ya akina Simba, Fisi na Chui kushiba mawindo yaoKwa muonekano wa huyo ndege sio Tai,huyo ndege kwa lugha ya kiingereza anaitwa Vulgar ingawa kwa Kiswahili chake naye sijui anaitwaje,labda mwenye uwelewa atusaidie,wana tabia zinazofanana za kukaa angani muda mwingi akizungukia mahali pamoja muda mrefu akiwinda mlo wake.Ila nimeipenda hiyo mbinu ya kutumia kiumbe ndege kwenye maswala ya ujasusi..