Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,160
Kuna amani ya nini tufike huko?? ila tuko vzr kwenye mambo ya usalama sema hujui tu.Sisi tutafika hizi level sijui lini
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Kuna amani ya nini tufike huko?? ila tuko vzr kwenye mambo ya usalama sema hujui tu.Sisi tutafika hizi level sijui lini
Thanks to the strong systemKuna amani ya nini tufike huko?? ila tuko vzr kwenye mambo ya usalama sema hujui tu.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Mh kimyakimya....!!!!!???Tz iko vzr kuliko hata uijuavyo..... usidhani kua hatumendewi ila tunajua kuwadhibiti tena kimya kimya..... Usiichukulie poa Tz yetu.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Tuna panya wa SUA wale wanategua mabomu, tumesha export kwa nchi kadhaa ziliwahitaji. I hope tutakuwa na panya wa kutega mabomu na kujitoa mhanga ikibidi.Sisi tutafika hizi level sijui lini
Okay goodTuna panya wa SUA wale wanategua mabomu, tumesha export kwa nchi kadhaa ziliwahitaji. I hope tutakuwa na panya wa kutega mabomu na kujitoa mhanga ikibidi.
Tuna wale kunguru wa Zenji/ Dsm wale weusi, they're so intelligent.
Unaweza anzisha ka organization chako ukaajiri wataalam wakawakamata wawachunguze, ikiwezekana uuzie serikali. Business opportunity iyo.
Daaaaaah aiseee ni shiiida saanaHuyo ndege waisrael watataka warudishiwe maana hadhi ya huyo ndege ni kubwa huenda ana cheo hadi cha kanal na ni komandoo.
Hatari sana syria haitabaki salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
5057 panapo uhaiSisi tutafika hizi level sijui lini
tushafika kitambo rechoSisi tutafika hizi level sijui lini
hahah et afande koplo njiwaWanasema ukiua muisrael moja wanalipiza kuua adui mia, sasa sijui kwa afande cpl Njiwa malipizo itakuwa nini!?
jamaa ni noma wamemjuaje huyo afande koplo njiwahumu kuna watu ni wagonjwa, et israel wako vzr, sijaona cha ajabu hapo
syria ndo wako vzr, inahitaji akili kubwa kuwa na wasiwasi na ndege ambaye n kawaida kuwa angani.
Unampenda sana recho ee?tushafika kitambo recho
sana tena sanaUnampenda sana recho ee?
Tuna safari ndefu sana!!!Awaui bila sababu..mbinguni imewekwa kwa ajili yao sasa kama ujui.
Sent using Jamii Forums mobile app
tutolee ujinga huu weweAwaui bila sababu..mbinguni imewekwa kwa ajili yao sasa kama ujui.
Sent using Jamii Forums mobile app
nisamehe bure,hizi dini za wazungu na waarabu binafsi zinaniboa sana...Matusi ya nini tenaa mkuu
Haha, Mu Israel kwa akili yake, hashindwi.
Huyo Tai nae anahesabika kama muisrael hivyooWanasema ukiua muisrael moja wanalipiza kuua adui mia, sasa sijui kwa afande cpl Njiwa malipizo itakuwa nini!?