Esma Platnum amefanya exclusive interview na Zamaradi amefunguka mengi kuhusu ndoa yake iliyopita

Ndo hapo sasa utambue finding yourself in a feminine side is a disadvantage, hebu just imagine kiumbe kingine kinakuweka mkao mara wa dog style, mara ugeuzwe mbuzi kagoma kwenda mara kifo cha Mende, mara miguu akufunge darini,........

Huyo mzee mwenzangu Abdul wala asihangaike kuumia kwa sababu hiyo ni kawaida si wanaume huwa tunaambiwa na kuaminishwa Huyu ni mwanao tu basi na sisi huwa tunakubali na kuanza majukumu ya malezi simply ni kweli huyo mwanamke ulifanya naye mapenzi na ukananiliu ndani........hata wewe usishangae bi mkubwa anakwambia baba yako ni flani, pengine Baba D ,huyo D si mwanae .
Inawezekana pia Mama kazingua tu kumpiga mzee chenga la mwili ila Diamond mtoto wake
 
Huyo msizwa kama muuza madawa labda punda.

Muuza madawa gani anatafuta attention kiasi hicho. Kwanza wauza madawa serious wana mitandao hatari, ukimtaja tu hata miezi 2 humalizi.

Yaani uropoke fulani muuza madawa halafu uendelee tu kusurvive. Wauza madawa hawana Mungu wale, hata wao kwa wao wakati wa mauziano wanadhulumiana na kuuana.
Unafananisha viuzamadawa vya bongo na akina elchapo
 
Huyo jamaa alikosea sana kujiingiza kwa hao wauza sura wataka umaarufu wakati jamaa anajua deals zake ni za 4...
Mwanamke mke mwenyewe ona anavyongea anaweka mipango ya jamaa yote wazi
Ona mke wa chapo mpk leo hajawahi zungumza masuala ya biashara ya mme wake
Tatizo hako kadada ni kashamba utandale bado wanao

Ova
Kabisa mkuu ,

Tena yeye na huyo mama yake,, wote ni washamba wa maisha na ugeni wa pesa.
 
Wanawake tatizo mnapenda sana hela,sometimes hamuangalii wala kuchunguza mtu ana kazi gani.

Huyu inabidi apumzike/ajipe likizo ya mapenzi yule wa kwanza alikuwa chawa,kuwadi na mpenda vitonga,huyu mwingine muongo ,mjanja wa mjini.
Wanawake walipofikia kwa kupenda hela za bwelelee,,,unaweza hata kumfungisha ndoa na mbuzi as long as mbuzi huyo anamiliki fuko la pesa.
 
Kabisa mkuu ,

Tena yeye na huyo mama yake,, wote ni washamba wa maisha na ugeni wa pesa.
Washamba sana, mi nilishasema mamaake mondi ndio mwenye matatizo wala sio yule mzee na mdomo wake mchafu na umalaya ndio uliwatenganisha na mzee Abdul!

Hamna mwanaume mwenye stara na utimamu angeweza ishi na mwanamke malaya na limbukeni af much knows. Yani Esma ni reflection ya mama yake by 100%
 
HAPA ndipo napomuaminigi MANGE KIMAMBI maana alisema siku ileile kuwa Jamaa Msizwa ni mtu wa Biashara za Pakistan lakini watu wakaona ni wivu tu.
Leo nimeamini Mange ni taasisi na sio mtu kama tunavyomuona.
Vipodozi vya Pakistani😂
 
Huyo msizwa kama muuza madawa labda punda.

Muuza madawa gani anatafuta attention kiasi hicho. Kwanza wauza madawa serious wana mitandao hatari, ukimtaja tu hata miezi 2 humalizi.

Yaani uropoke fulani muuza madawa halafu uendelee tu kusurvive. Wauza madawa hawana Mungu wale, hata wao kwa wao wakati wa mauziano wanadhulumiana na kuuana.
Mkuu hao ndy aina ya wauza madawa waliopo miaka hii.

Wengi ni washamba wa maisha na hata huko Pakistan hawapajuwi.

Zamani miaka ya 90 ,,ukiwa muuza madawa lazima Pakistan ufike kwanza,
ukajifunze maisha na siri za kazi.

Hawa vijana wamepata bahati ya kuwajuwa wahindi wanaletewa madawa hadi mlangoni,,

Sasa hawajuwi chochote kuhusu miiko ya kazi.
Na siri zake.

Huyo bwana anajiita msizwa,,Lakini ana jina lake kamili, linalojulikana kote huko south..
Aliamua kuingia kwa asma kwa jina la umaarufu huo,,
Kabla hata watu hawajamjuwa sisi mabaharia siku nyingi tunamchora tu,,na ushamba wake.

Mzans---- msouth Africa raia.

Msizwa--- msouth Africa raia..
 
Ndio akome Nani kamtuma afanye shughuli hizo?
Yule sio mumewe tena..angekuwa mume angelifunga bakuli lake sio kumdhalilisha mkewe kwenye media...
Halafu wote ni wanawake wa aina moja,,
Yeye na mama yake ,,,

Wakati asma akibwabwaja hovyo kuhusu x mume wake ,,
Na mama diamond nae anabwabwaja kuhusu mzee Abdul...

Na anapoelekea mwisho atakuja kusema mzee wa watu Jogoo hapandi mtungi.
Yule mama alikuwa akihojiwa na tv fulani,,,du!! si kwa kejeli na dharau zile kwa mzee Abdul.

Hakika wanawake wa aina hizo ni hatari sana kwa kuwa wife material..
 
Mkuu hao ndy aina ya wauza madawa waliopo miaka hii.

Wengi ni washamba wa maisha na hata huko Pakistan hawapajuwi.

Zamani miaka ya 90 ,,ukiwa muuza madawa lazima Pakistan ufike kwanza,
ukajifunze maisha na siri za kazi.

Hawa vijana wamepata bahati ya kuwajuwa wahindi wanaletewa madawa hadi mlangoni,,

Sasa hawajuwi chochote kuhusu miiko ya kazi.
Na siri zake.

Huyo bwana anajiita msizwa,,Lakini ana jina lake kamili, linalojulikana kote huko south..
Aliamua kuingia kwa asma kwa jina la umaarufu huo,,
Kabla hata watu hawajamjuwa sisi mabaharia siku nyingi tunamchora tu,,na ushamba wake.

Mzans---- msouth Africa raia.

Msizwa--- msouth Africa raia..
Huyo msizwa naye mshamba sana mtu wa mitkasi na makamera wapi na wapi?
Alijisemeaga jamaa yangu mmoja dah hizi kazi sahv zimevamiwa especially ilipoingia mambo ya kwenda kuvua na watu kupata samaki wengi wao walikuwa wageni basi hizo vurugu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Washamba sana, mi nilishasema mamaake mondi ndio mwenye matatizo wala sio yule mzee na mdomo wake mchafu na umalaya ndio uliwatenganisha na mzee Abdul!

Hamna mwanaume mwenye stara na utimamu angeweza ishi na mwanamke malaya na limbukeni af much knows. Yani Esma ni reflection ya mama yake by 100%
Hilo mabaharia tunalijuwa siku nyingi,,
Kwamba mzee Abdul alitimuliwa nyumbani kwa mama diamond tandale,,
Baada ya huyo mama kupata marioo msimamia ukucha mwingine.
Huyo mzee wa Abdul amekosa support ya kumtetea mitandaoni ,,sababu hili suala lipo kishabiki zaidi.

Huyo mama ni nuksi tupu..,
 
Hilo mabaharia tunalijuwa siku nyingi,,
Kwamba mzee Abdul alitimuliwa nyumbani kwa mama diamond tandale,,
Baada ya huyo mama kupata marioo msimamia ukucha mwingine.
Huyo mzee wa Abdul amekosa support ya kumtetea mitandaoni ,,sababu hili suala lipo kishabiki zaidi.

Huyo mama ni nuksi tupu..,
Na huyo mariooo ni proffesional kwenye fani hiyo
Unajua kuna watu mjini michongo yao ni kuwa na wamama kuwalea kazi yao ni kupendeza tu
Ukiwaona kama wanafanya kazi benki kutwa wanangaaaa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom