mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
Kwl kabisa,,Huyo msizwa naye mshamba sana mtu wa mitkasi na makamera wapi na wapi?
Alijisemeaga jamaa yangu mmoja dah hizi kazi sahv zimevamiwa especially ilipoingia mambo ya kwenda kuvua na watu kupata samaki wengi wao walikuwa wageni basi hizo vurugu
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Nakumbuka miaka ya 90 madawa hapo humu,,
Hata police hawayajuwi..
Tena watu wanashuka hapo hapo airport minazi mirefu,,
Na hakuna anayejuwa chochote,,
Wamevamia mashoga biashara hizi sasa hata wauza chips mitaani wanajuwa mipango yote..
Wanaona kujinadi muuza madawa ni sifa.
Mapimbi kabisa.nuksi tupu.