Mange ana Network ya wambea wa mjini, wanampa Siri.Mange watu wanamchukulia poa sana.. ila mkono mrefu saaana.
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kimekulia maisha ya uswz na bado ana mentality hiyo hiyoKama mimi ningekuwa Esma wala nisingeongea kwani kukaa kimya shingi ngapi eti vitu vinavyouzwa dukani ni vya wizi duh awe na akiba na maneno yule jamaa akiongea na yeye itakuwa balaa.
DuhShamte namjua tokea yuko kwao 8 8 moro
Ni mario kitambo sana ila sahv kweli kampata wa kumlea,in short jamaa ni ganda la ndizi
Ova
MnooooNdoa za kiislamu ni uchafu wa dunia. Niongeze sautiiii.
Hii inaitwa ukweli mchunguHaya ni matusi sasa.
UtaniambiaNdoa ni taasisi, na inataka watu wanaojielewa kuingia kwenye ndoa na sio utoto utoto, nitakuja siku moja nitoe semina ya ndoa humu, wengi mtanufaika na darasa hilo,
nasubili Mkuu 🥰Ndoa ni taasisi, na inataka watu wanaojielewa kuingia kwenye ndoa na sio utoto utoto, nitakuja siku moja nitoe semina ya ndoa humu, wengi mtanufaika na darasa hilo,
Ujanani alikuwa anaifanya kama ajira, hivyo focus ilikuwa kumfurahisha customer.. Wakati huu yeye ndiyo Customer lazima afidie shuruba alopitia zamaniYeye kwake ndy starehe maana wakati wake ulipita pasi na kufanya starehe hizo.