Escrow: Stanbic Bank kuchafua hali ya hewa

Escrow: Stanbic Bank kuchafua hali ya hewa

Ngoja sisi tukae mkao wa kula..sasa kama familia kuu imehusika itakuaje hapa???Hiyo tu ndio tiketi rahisi ya kuingo`oa CCM madarakani…Kwa heri Chama chakavu….

mkuu wa ikulu nae alilamba? hii balaa itabidi ajiuzulu
 
Sema tu familia ya Jakaya Kikwete, unaogopa nin?

Hapana mkuu..
Kwetu tunakatazwa kutaja watu wazima kwa majina..unafanya kuzunguka kichuguu kidogo tu...ila wenyeji tunakuwa tunaelewa.
 
Bila stanbic kuweka hadharani majina ya wote waliochota pesa kwenye escrow hawataeleweka kamwe!
 
Kufufuliwa upya sasa kwa kesi ya Anglo leasing ya Kenya miaka zaidi ya kumi tokea ilipoamuliwa kesi ya msingi kunanipa matumaini kuwa haya yanayofukiwa kwenye hizi kesi za kifisadi kuna siku yatafunuliwa...

Amina
Kweli mkuu yatakua wazi tu manake ubaya hauna rafiki na kama upo basi ni wa muda na hasa huzingatia maslahi ila yakiisha unaanikwa mchana wa saa nane
 
Nimepenyezewa taarifa na mnene mmoja wa Stanbic kuwa Viongozi waandamizi wa Stanbic Bank huko majuu wanakaribia kuchafua tena hewa ya nchi.Waandamizi hao wameagiza kuanikwa kwa majina ya waliochota malumbesa ya fedha za Escrow. Wamewaagiza wakuu wa hapa Tanzania kuhakikisha ifikapo Aprili mosi mwaka huu,majina hayo yawe public pamoja na mihamala yao ili kusafisha taswira ya Stanbic.

Ukisikia kusafisha hapa na kuchafua pale ndio huku.Siombi hilo litokee.Hawa wa Mkombozi Bank aka wa Rugemalira wametuhenyesha hivi.Wa Stanbic itakuwaje? Stanbic Bank,please and please, re-think and re-decide. Tumechoka!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Tatizo lako nini haswa?
 
Kweli mkuu yatakua wazi tu manake ubaya hauna rafiki na kama upo basi ni wa muda na hasa huzingatia maslahi ila yakiisha unaanikwa mchana wa saa nane

Waziri wa fedha na viongozi wengine waandamizi wa serikali iliyokuwa ya Moi leo wanasimama kizimbani kujibu tuhuma ambazo wao.walidhani wamefanikiwa kuzifukia miaka 10 iliyopita
 
Hiyo tarehe haiaminiki. Wataje siku nyingine mbele au nyuma ya hiyo tarehe.
 
Waziri wa fedha na viongozi wengine waandamizi wa serikali iliyokuwa ya Moi leo wanasimama kizimbani kujibu tuhuma ambazo wao.walidhani wamefanikiwa kuzifukia miaka 10 iliyopita
Mkuu najaribu kuimagine kwa hapa kwetu siku ya namna hiyo ikifika naona kama patakua hapatoshi
 
MKUU UKO SAHIHI KABISA, HAWA WAZUNGU WALIOWEKEZA HAPA HASA WAMAREKANI NA WAJERUMANI WALIO WENGI WANASEMA KUWA HAWAWEZI KUENDELEA KUTOA PESA ZA WALIPA KODI ZA WANANCHI WAO NA HUKU VIONGOZI WETU WAKIIBA , NA RAISI AKIHUSISHWA KIMAZINGIRA... HILI BAADHI YA HAO WAZUNGU WANALISEMA WAZI WAZI HATA BILL GATES KAPUNGUZA SANA FEDHA KATIKA MIRADI YAKE HAPA BONGO KUNA MIRADI MIKUBWA MIWILI YA COCOA NA COFFEE ALIWEKEZA KAPUNGUZA PESA ZAKE NYINGI TU, NA JAMAA WENGI CO, NA OFFICERS WAMEKOSA KAZI...ISHU HII YA ESCROW IMETUCHAFUA SANA............[QUOTE=lusungo;12103646]Stanbic wamevujisha kwa wafadhili hasa USA ili kulinda credit yake kwao ila kwa hapa bongo si rahisi...

JK heri angeachana na hizi double standards zinamzalilisha Sana mbele ya hawa wazungu coz wanaelewa kila kitu ndio maana wamemkazia Uzi mpaka sasa serikali iko hoi kifedha....

Haiwezekani Tibaijuka na Maswi waondolewe ofisini halafu akina Gurumo wabakie ofisini kwa kesi ile ile...

Siku majina ya Stanbic yakiwekwa hadharani hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe.....[/QUOTE]
 
Kufufuliwa upya sasa kwa kesi ya Anglo leasing ya Kenya miaka zaidi ya kumi tokea ilipoamuliwa kesi ya msingi kunanipa matumaini kuwa haya yanayofukiwa kwenye hizi kesi za kifisadi kuna siku yatafunuliwa...

Amina

Santeee mkuu tena hata miaka ya baadae itabidi tuulize nyerere alikufaje na afukuliwe ili tumpime upya tuone
 
Back
Top Bottom