ESCROW sio siri tena, mambo yote hadharani

ESCROW sio siri tena, mambo yote hadharani

Wenzetu chochote wanachofanya wanahahakisha kina benefit kwa wananchi kwanza. Wana sign contract ambayo itawafaidisha wananchi lakini huku kwetu ni tofauti, maslahi yao mbele wananchi baadae!
lobbying za washington nyingi ni za kufaidisha makampuni makubwa,mabenki na viwanda vya silaha
 
Watz kwei elimu bado kweshenei. Sasa umeandika nini hapo? Sioni substance perhaps new material that we do not know. Hapa umekuja kumtetea Ruge.
 
Kila siku tunahangaika kukimbizana na walimu wakuu waliojiwekea vijina vichache ya wanafunzi ili na nao wapate hela za kubrush viatu vyao harafu tunayaacha majizi mtaani yakiendelea kutafuna fweza zetu. CCM chama cha wanafiki.
 
Hivi bado CCM wanayo moral authority ya kuongoza nchi hii kweli? Na sijui JPM anajisikiaje kuwa mwenyekiti wa chama kama hiki huku yeye mwenyewe akijivisha joho la mtetezi wa wanyonge. I don't understand.Kwa bahati mbaya sana katika serikali hii bado tunaona dalili za wazi za kuwalinda mafisadi badala ya kuwashuhulikia kwa nguvu zote. Mahakama zipo, mahakimu wapo, mafisadi wapo, nini tatizo? Inakera kwa kweli.
Tatizo ccm
 
ANaweza kuzuia tu haya yasitokee tena inatosha!Kufukua mambo ambayo hukuwa na maamuzi nayo sioni kama kuna umuhimu!Kila zama na kitabu chake
Njia ya kuzuia Haya yasitokee tena ni kurudisha rasmi ya pili ya katiba mpya jambo ambalo ni gumu kwa mfia ccm ila rahisi kwa wafia Tanzania
 
Kwa kuwa mkuu tuliye naye "anaaminika" kwa kuchukua maamuzi magumu kwa maslahi ya taifa, na ni mpeni wa Mungu, nina hakika hili atalishughulikia tu ipasavyo. Ila kama wastaafu alioahidi kuwalinda wanahusika, itakuwa mtihani mkubwa kwake.
Ndugu unasubiri MELI Airport huamini kama unaweza kuchakaa
 
Hivi WAZIRI WA NISHATI NA MADINI wakati ule alikuwa nani vile?
 
Angeweza kama angepata Support. Kila kukicha ni kumkashifu,kumvunjia heshima, kudharau, kumdhalilisha kumtukana n.k Halafu eti unataka afukue vya mtangulizi wake kwa watu wasio na shukrani kama ninyi. Naamini na yy ameona ninyi si wa kuwakimbilia. Unafikiri nani atakuwa mfariji wake. Mimi nahakika Magu angeweza kufanya yasiyotarajiwa kwa kuwa ana uthubutu ila ss anamfanyia nani? Ss tuliowanafiki hata shukrani hatuna. .ili akikorofishana na wenzake tukae tumcheke. ..peleka huko upuuzi wako !!
Tatizo lake anaamini anajua kila kitu
 
Back
Top Bottom