CHENGU MANURE
JF-Expert Member
- May 26, 2015
- 914
- 566
Mimi huwa najiuliza mtu mwenye akili timamu anawezaje kuamini theory za Charles Darwin kuhusu evolution maana karibu zote zimeprove failure hata kwa scientists wenzie.Na kwa miaka hii zote zimekuwa old school.
mkuu huu ni ulimbukeni wa kutaka kujifanya huko tofauti na watu. Darwin hajafanikiwa katika chochote alichokisema.
Hata einstain anayemuamini Theory yake ya speed of light imekuwa proved wrong juzi tu.
Cha ajabu mambo ya Mungu ya Imani Hadi kesho akitaka yeye au sasa hivi hapo alipo anaweza kufanyiwa vitu akawa mdogo.