leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,405
- 1,815
unajua wataalam wanasema kusoma sana hupunguza maharifa ndicho nacho kiona
unajua wataalam wanasema kusoma sana hupunguza maharifa ndicho nacho kiona
In Genesis story of Creation,Nothing is Neither Far-fetched nor Extraordinary.
In fact,There is no Need of Modern science to Explain Errors of those Events
Simple classical science Alone is Enough to prove the whole Account Wrong.
unajua wataalam wanasema kusoma sana hupunguza maharifa ndicho nacho kiona
kawaulize wayahudi nani alimtuma musa awatoe utumwani misri,huyo ndie ataekujibu
maana yake watu hawataki kua makondoo wanahojiMashambulizi juu ya biblia yameongezeka sana kipindi hiki...ni nini maana yake?!
Umerudi nyuma mrudie Jehovah atakurudia tu.Mkuu mimi binafsi nilishawahi kufanya kazi madhabauni kwa kipindi fulani, hivyo haya mambo yako tofauti sana na wengi wanavyodhani sema ndo hivyo hawaambiliki nabaki nawaangalia tu maana wengi ni wakristo wa jumapili
Hata binadamu aliumbwa kwanza ndipo akapuliziwa pumzi ya uhai.Wakristo wengi wanaamini kuwa mpangilio wa matukio katika kitabu cha 'mwanzo' are logically consistent, Hi si kweli
Hauhitaji professor wa fizikia kutambua makosa yaliyomo katika kisa hicho cha uumbaji
Mfano,mwanzo 1:3-5
"Mungu akatenga nuru na giza, Mungu akaiita nuru mchana, na giza akaliita usiku"
uwepo wa mchana na usiku unategemea uhusiano wa vitu viwili,jua na dunia
lakini kulingana na biblia,jua pamoja na nyota zote ziliumbwa siku ya nne(ref;mwanzo 1:14-19)
sasa usiku na mchana vilikujaje siku ya kwanza?
mwanzo 1:9-13
Mungu anaumba majani,miche itoayo mbegu na miti katika siku ya tatu
kwa utashi wa kawaida tu,hakuna mmea unaoweza kuishi bila photosynthesis.Mojakati ya requrements muhimu ya photosynthesis ni mwanga wa jua,lakini jua liliumbwa siku moja
baadae
mwanzo 1:14-19
Mungu anaumba mianga(chazo cha mwanga) miwili mikubwa yaani mwezi na jua,kisha mwezi utawale usiku
lakini mwezi hautengenezi mwanga wake bali unaakisi mwanga unaotoka kwenye jua
wakristo mnahitajika