Errors in genesis

Errors in genesis

Sasa kama hujaweza hata kuandika utahojije swali lililokuzidi kiakili?

Kajifunze kuandika kwanza haya mengine utayakuta tu dada.

Sokwe mtu asili ya huyo binadamu ni nini ??

Mimi nimeumbwa kama wewe ni sokwe sema tu.
 
mumuogope Mungu. huwezi hata siku moja kuichambua biblia hasa kuhusu uumbaji kwa kwa kutumia fikra za kawaida za mwanadamu. kumbuka we are talking about GOD guyz.
 
Umeumbwa wakati walikukunya 😀

Mbona wewe ulijambwa sikutangangazi

Minyani nyie mkienda ulaya mnarushiwa ndizi mnalia lia mnabaguliwa wakati mnaambiwa binadamu alikua nyani mnakubali
 
Mawazo ya Mungu si ya wanadamu wala akili za Mungu hazichunguziki kama vile mbingu na nchi zilivyo mbali kadhalika na mawazo yangu Ayubu anauliza Ulikuwa wapi nilipoisimika na kuiweka misingi ya dunia hii na kuiwekea vipimo vyake?
 
supenatural kivipi mkuu?,kila kitu kipo wazi
kitabu cha mwanzo kimeandikwa kwa kufuata misingi ya nadharia za zamani ndiyo maana kimejaa makosa

kwa mfano,Mungu alimuumba adam kwa udongo,

umeshawahi kujiuliza kwanini alitumia udogo?

kulingana na four elements theory ya aristotle,udongo/soil ni basic element

lakini four element theory ni toothless kwa sasa baada ya idea ya dalton.

Nilijua unatetea imani zetu za kiafrika kumbe unaabudu manabii wa kigiriki eg. Plato,Aristole nk
 
chanzo cha failure yako mkuu ni hilo jina ulilojipa bila kuwajua hao watu wawili einstain na newton waliaminini nini.

Ukiendelea hivyo utachanganyikiwa,

Einstein was atheist and newton was theist,but all of them have nothing to do with my own beliefs

and which failure you talk about by the way?...entire book of genesis is simply primitive one and nobody can change this
 
Umejuaje ??
umefanya uchunguzi lini ??
umethibitishaje ??
je kabla ya kuwapo nyani kulikua na nini hadi akawa nyani ??
Kwanini nyani abadilike awe binadamu kama wewe sio simba au nguruwe??

Chanzo cha wanyama wote ni nini ??

sokwe nijibu haya maswali

heeee!..kumbe wewe nyumbu unataka ufundishwe?,sema tutoe darasa
you have no ideas about evolution that's why you bother men with your silly qeostions.
 
1.theists wana claim kuwa biblia ni neno la Mungu hivyo hakina makosa,sasa huwezi kukubali kuwa waandishi wamekosea lakini ujumbe waliouandika upo sahihi...utakua unachekesha,ulimwengu ni self-created hauhitaji designer

2.
I don't believe in scientist(personally)but I respect his career.
NB:kuna tofauti ya kuamini sayansi na kumwamini mwanasayansi

3.mimi sina IQ kubwa kumzidi isaac newton,na Isaac newton hana IQ ya kujua kila kitu

NB:usichanganye personal statement kama ya isaac newton na general truth.

"the universe has about 99% chance of existing uncaused,so existence of supreme agency is lame solution"

nafikiri mkuu MANURE nitakuwa nimejibu maswali yako hapo chini




"...1.Je ni makosa ya waandishi lakini ujumbe na reality ni kweli viliumbwa?

2. Unawaamini wanasayansi?? au nusunusu??

3. Wewe unaakili nyingi kuliko Isaac Newton ambaye alikuwa akishinda anakesha na kusoma na kufanya scientific inventions.?????""
 
heeee!..kumbe wewe nyumbu unataka ufundishwe?,sema tutoe darasa
you have no ideas about evolution that's why you bother men with your silly qeostions.

wewe nyani wakati wa evolution ulikuwepo ??
kwanini uamini vitabu hivyo ?
Baada ya kuanza nikaona ujinga nikaacha.

Nyani rudi mbugani ukale ndizi
naona unakata mauno tu hapa kama mchezaji wa akudo
 
wewe nyani wakati wa evolution ulikuwepo ??
kwanini uamini vitabu hivyo ?
Baada ya kuanza nikaona ujinga nikaacha.

Nyani rudi mbugani ukale ndizi
naona unakata mauno tu hapa kama mchezaji wa akudo

teh teh teh

poa jesse jane nitarudi.
 
Einstein was atheist and newton was theist,but all of them have nothing to do with my own beliefs

and which failure you talk about by the way?...entire book of genesis is simply primitive one and nobody can change this

you were not born with that orientation. You are the result of mental programming you received at a certain age in your life. I am not saying this to reprogram you to creationist but to give you awareness on what you believe so that you may have updated version of your belief and make a right choice friend.

Huwezi kusema your own beliefs wakati wanaomiliki hizo belief na waanzilishi wanajulikana na nia zao zipo wazi.
Unatoa scientific arguments wakati unawakana, eti ujanifanya your own belief.

Acha kujipotezea muda mkuu, Mwamini Mungu na Manabii wake ndipo utakapofanikiwa (anamajibu yote).

At the Last Judgement day (I don't care if you believe or not) You will stand on your own feet to give account on what you belived while the truth was around you. Darwin, Einstain, Plato, Maxists will stand by their own.

Msaada kwako:

Kutana hapa na Evolutionist/scientist/Top ethiest/With grimpse of masonic inputs, Wewe ni amateur katika hicho unachotaka kupotosha watu (tunauita mkono wa kuume wa utendaji wa adui), Yeye alikuwa proffesor wa hicho kidogo unachokiamini. Na amesoma zaidi ya hayo Masonic Morals and dogmas na atakueleza waanzilishi na motive behind ya hicho unachoking'ang'ania bila kujua.

Sikiliza testimony yake, tafuta jinsi alivyoanza, alivyobadilika nadhani ndio msaada wangu wa level ya kati kukusaidia mkuu. Huko uliko siko mkuu (bitter truth).

uwe mvumilivu usikilize dakika zote 85 wenda ukafanya updated decision.

FROM EVOLUTIONIST TO CREATIONIST
YahTube: Walter Veith - From Evolutionist to Creationist
 
wakristo wengi wanaamini kuwa mpangilio wa matukio katika kitabu cha "mwanzo" ni scientifically accurate...si kweli

hauhitaji professor wa fizikia kutambua makosa yaliyomo katika kisa hicho cha uumbaji

mfano,mwanzo 1:3-5
"Mungu akatenga nuru na giza,mungu akaiita nuru mchana,na giza akaliita usiku"

uwepo wa mchana na usiku unategemea uhusiano wa vitu viwili,jua na dunia
lakini kulingana na biblia,jua pamoja na nyota zote ziliumbwa siku ya nne(ref;mwanzo 1:14-19)

sasa usiku na mchana vilikujaje siku ya kwanza?

mwanzo 1:9-13

Mungu anaumba majani,miche itoayo mbegu na miti katika siku ya tatu

kwa utashi wa kawaida tu,hakuna mmea unaoweza kuishi bila photosynthesis.Mojakati ya requrements muhimu ya photosynthesis ni mwanga wa jua,lakini jua liliumbwa siku moja
baadae

mwanzo 1:14-19

Mungu anaumba mianga(chazo cha mwanga) miwili mikubwa yaani mwezi na jua,kisha mwezi utawale usiku

lakini mwezi hautengenezi mwanga wake bali unaakisi mwanga unaotoka kwenye jua

wakristo mnahitajika hapa tafadhali!

mkuu nimekuwekea link ya evolutionist mwenzako, tena wewe ni amateur yeye ni proffessor wa huo uzushi uliolishwa katika pitapita zako maishani wenda kwa kujua au kutokujua. Msikilize kwa utulivu wa nafsi aliporudi NYUMBANI KWAKE HALISI CREATIONIST and became the Follower of GOD THE CREATOR OF HEAVEN AND EARTH.

Hujachelewa chief
 
wakristo wengi wanaamini kuwa mpangilio wa matukio katika kitabu cha "mwanzo" ni scientifically accurate...si kweli

hauhitaji professor wa fizikia kutambua makosa yaliyomo katika kisa hicho cha uumbaji

mfano,mwanzo 1:3-5
"Mungu akatenga nuru na giza,mungu akaiita nuru mchana,na giza akaliita usiku"

uwepo wa mchana na usiku unategemea uhusiano wa vitu viwili,jua na dunia
lakini kulingana na biblia,jua pamoja na nyota zote ziliumbwa siku ya nne(ref;mwanzo 1:14-19)

sasa usiku na mchana vilikujaje siku ya kwanza?

mwanzo 1:9-13

Mungu anaumba majani,miche itoayo mbegu na miti katika siku ya tatu

kwa utashi wa kawaida tu,hakuna mmea unaoweza kuishi bila photosynthesis.Mojakati ya requrements muhimu ya photosynthesis ni mwanga wa jua,lakini jua liliumbwa siku moja
baadae

mwanzo 1:14-19

Mungu anaumba mianga(chazo cha mwanga) miwili mikubwa yaani mwezi na jua,kisha mwezi utawale usiku

lakini mwezi hautengenezi mwanga wake bali unaakisi mwanga unaotoka kwenye jua

wakristo mnahitajika hapa tafadhali!


mkuu sijapata ushirikiano wako hapa


ninaomba kujua wewe unaamini nini katika hiyo mwanzo moja/mbili au bibilia nzima.
Unakuwa unaeleaelea bila kueleweka ili upate mianya mingi ya kusumbua watu. weka msimamo wako kabisa. alafu jifunze kujibu hoja, Nimekupa mfano wa kusimamishwa jua humeruka kutoa jibu.(answering by omission)

1.Je ni makosa ya waandishi lakini ujumbe na reality ni kweli viliumbwa?

2. Unawaamini wanasayansi?? au nusunusu??

3. Wewe unaakili nyingi kuliko Isaac Newton ambaye alikuwa akishinda anakesha na kusoma na kufanya scientific inventions.?????

Soma hapa Newton Labda utamuelewa kuliko sisi wabongo wenzako

COMMENTS OF SIR ISAAC NEWTON ON BIBLE AND ATHIESM

On the Bible:
"I have a fundamental belief in the Bible as the Word of God, written by men who were inspired. I study the Bible daily."

On atheism:
"Atheism is so senseless. When I look at the solar system. I see the earth at the right distance from the sun to receive the proper amounts of heat and light. This did not happen by chance."
 
mkuu nimekuwekea link ya evolutionist mwenzako, tena wewe ni amateur yeye ni proffessor wa huo uzushi uliolishwa katika pitapita zako maishani wenda kwa kujua au kutokujua. Msikilize kwa utulivu wa nafsi aliporudi NYUMBANI KWAKE HALISI CREATIONIST and became the Follower of GOD THE CREATOR OF HEAVEN AND EARTH.

Hujachelewa chief

listen pal,i can't waste my time in fallacy opinions of someone else..
the only thing that can shake my beliefs in empirical evidence derived from isolated experiment and not personal argument like ex-evolutionist in link above
it doesn't matter how subtle his argument is,if it failed to fit in experiment i will not take it for granted

only thing that can reverse my orientation is experimental result

i don't need more blah blah
thanks
 
wakristo wengi wanaamini kuwa mpangilio wa matukio katika kitabu cha "mwanzo" ni scientifically accurate...si kweli

hauhitaji professor wa fizikia kutambua makosa yaliyomo katika kisa hicho cha uumbaji

mfano,mwanzo 1:3-5
"Mungu akatenga nuru na giza,mungu akaiita nuru mchana,na giza akaliita usiku"

uwepo wa mchana na usiku unategemea uhusiano wa vitu viwili,jua na dunia
lakini kulingana na biblia,jua pamoja na nyota zote ziliumbwa siku ya nne(ref;mwanzo 1:14-19)

sasa usiku na mchana vilikujaje siku ya kwanza?

mwanzo 1:9-13

Mungu anaumba majani,miche itoayo mbegu na miti katika siku ya tatu

kwa utashi wa kawaida tu,hakuna mmea unaoweza kuishi bila photosynthesis.Mojakati ya requrements muhimu ya photosynthesis ni mwanga wa jua,lakini jua liliumbwa siku moja
baadae

mwanzo 1:14-19

Mungu anaumba mianga(chazo cha mwanga) miwili mikubwa yaani mwezi na jua,kisha mwezi utawale usiku

lakini mwezi hautengenezi mwanga wake bali unaakisi mwanga unaotoka kwenye jua

wakristo mnahitajika hapa tafadhali!

Let me start by declaring that I believe in God but I do not follow religiions blindly but logically and rationaly which also applies to theological books including the bible and quaran.

First let me correct you by saying that Christianity is not premised on the notion/principle of biblical infallibility the way you claim.The bible was written by human beings who were inspired and it is the nature of human beings to error..

Having said that I believe in the genesis explanation of creation and partly the evolution part but not the evolution from apes to human being otherwise all apes in virunga would have evolved to human beings and human beings evolved into something else since the more accepted explanation for our existence(big bang theory) claims that evolution doesnt stop and the world keeps on expanding. In short,I believe the big bhang theory compliments the Genesis creation story.


Big bang theory suggests that the universe and life arose by chance,yes the explosion from singularity what it fails to explain is how this singularity came to be.... How can nothing come out of nothing.If there was an explosion then there must be some form of energy that caused it but according to the theory all the energy came into existence due to nothing,it just exploded.In the bible, we are told that the earth was formless and desolate and the spirit of God was moving over water and God commanded and said let there be light and there was light.In my belief,I think the big bang explosion was caused God when he said let there be light but he went ahead to create the sun, human beings,land and animals etc.They didn't not evolve from nothing.

The evolution theory doesn't even attempt to explain how the sun,moon,land, sky came into existence or where the force that caused teh singularity came from all the claim is the dark matter and dark energy which they are not aware of. The dark matter and dark energy happens to be God in my thinking

Lastly remember that God does not subscribe to the laws of science and He is supreme.
 
wewe nyani wakati wa evolution ulikuwepo ??
kwanini uamini vitabu hivyo ?
Baada ya kuanza nikaona ujinga nikaacha.

Nyani rudi mbugani ukale ndizi
naona unakata mauno tu hapa kama mchezaji wa akudo

Mimi huwa najiuliza mtu mwenye akili timamu anawezaje kuamini theory za Charles Darwin kuhusu evolution maana karibu zote zimeprove failure hata kwa scientists wenzie.Na kwa miaka hii zote zimekuwa old school.
 
listen pal,i can't waste my time in fallacy opinions of someone else..
the only thing that can shake my beliefs in empirical evidence derived from isolated experiment and not personal argument like ex-evolutionist in link above
it doesn't matter how subtle his argument is,if it failed to fit in experiment i will not take it for granted

only thing that can reverse my orientation is experimental result

i don't need more blah blah
thanks

How can somebody give you experimental result in JF. If you have locked your mind not to listen views of your teachers who are now converted.

Nazidi kujiuliza kama unaielewa hata Principle ya RELATIVITY ya EINSTEIN. Maana majibu yako yanaonyesha einstain ulimsoma wikipedia.
 
Back
Top Bottom