Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,792
- 1,748
Atheist wataenda mashoga,,wachawi na watu wasiopenda kufuata sacred principles.Maana ndio kizazi kichafu kinachoshika chati siku hizi na kinachotaka kuwa huru.FREE THINKERS.
Atheist wataenda mashoga,,wachawi na watu wasiopenda kufuata sacred principles.Maana ndio kizazi kichafu kinachoshika chati siku hizi na kinachotaka kuwa huru.FREE THINKERS.
Mbona makanisa yenu yanafungisha hizo ndoa za mashoga si hatusemi? Acha kunyoonshea watu vidole kana kwamba mnachoamini ndio kiko sahihi!
Yaangalie yameanza lini? Na misingi yao.Kanisa lenye misingi lililowakubali ni anglikana tu.Lakini mengi ni haya ya karibuni yenye mitazamo ya kisiasa na kipagani.
Yaangalie yameanza lini? Na misingi yao.Kanisa lenye misingi lililowakubali ni anglikana tu.Lakini mengi ni haya ya karibuni yenye mitazamo ya kisiasa na kipagani.
thus why i said that,total story of creation as described by genesis is quite tale
kitu cha kwanza kilichokuwepo kabla ya uumbaji ni maji,lakini maji yaliuumbwa siku ya ngapi kama vyote viliumbwa ndani ya siku saba?
nirudi kwenye swali lako,hakuna sehemu yoyote katika biblia inayosema kuwa Mungu aliuumba udongo.labda wakristo watujuze
Wewe unaamini nini?
Hivi ni wapi biblia imekuwa in harmony with science?
Religion is not science wewe,
Quit living in a fish bowl.
Wewe ni mvivu kama walivyo wajinga wengine.
Kwenye kitabu cha Ufunuo Biblia inasema Jua na Mwezi havitakuwepo tena na Nuru ya Ulimwengu itakuwa ni mwana kondoo.
Sasa wewe utasemaje chanzo cha mwanga ni jua na mwezi tu?
Soma biblia yote acha kufuata mikumbo.
Hivi mbona huulizi why Jesus turned water into wine?
How can you explain that scientifically?
Soma tena Biblia na kuelewa chanzo cha mwanga ni Mungu mwenyewe kwanza.
Sifa moja ya kuwa Critical thinker ni lazima uwe msomaji mzuri wa mambo.
Wewe umekariri mistari michache unakuja hapa kuleta ujinga.
Hivi hiyo biblia umeisoma yote?
Kwanza tangu lini imani na sayansi vikapikwa chungu kimoja?
And what else I can expect from a senseless looser like you?? You have to talk that nonsense to the fools who know nothing about that glorious book.
Wewe unaamini nini?
Hivi ni wapi biblia imekuwa in harmony with science?
Religion is not science wewe,
Quit living in a fish bowl.
Wewe ni mvivu kama walivyo wajinga wengine.
Kwenye kitabu cha Ufunuo Biblia inasema Jua na Mwezi havitakuwepo tena na Nuru ya Ulimwengu itakuwa ni mwana kondoo.
Sasa wewe utasemaje chanzo cha mwanga ni jua na mwezi tu?
Soma biblia yote acha kufuata mikumbo.
Hivi mbona huulizi why Jesus turned water into wine?
How can you explain that scientifically?
Soma tena Biblia na kuelewa chanzo cha mwanga ni Mungu mwenyewe kwanza.
Sifa moja ya kuwa Critical thinker ni lazima uwe msomaji mzuri wa mambo.
Wewe umekariri mistari michache unakuja hapa kuleta ujinga.
Hivi hiyo biblia umeisoma yote?
Kwanza tangu lini imani na sayansi vikapikwa chungu kimoja?
And what else I can expect from a senseless looser like you?? You have to talk that nonsense to the fools who know nothing about that glorious book.
Ni nani alikudanganya kitabu cha Genesis ni cha Mwenyeezi Mungu?
Watu wa dini waliojaa ghadhabu na hasira, ni bora ya walevi kumi.
fools like you who see bright contradiction and yet you still faith is fairy tale
et glorious book,glorious book which lack scientific support?..only fools can accept the silly doctrine
Atheist wataenda mashoga,,wachawi na watu wasiopenda kufuata sacred principles.Maana ndio kizazi kichafu kinachoshika chati siku hizi na kinachotaka kuwa huru.FREE THINKERS.
We jamaa unatetea tu, kanisa ni kanisa tu kwani mule si anatajwa yesu au
In the bible you can find basic human needs like direction,joy,inspiration,happiness,lifestyle,love,the mankind lost reality and knowledge.If your looking for science in bible you have a long way to find it because the best scientists is GOD he is not innovator but Creator,,and innovators like Michael Faradays should have to copy and paste from his creation.Job39:1-~