Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
We don't want to create a very dangerous precedence in the future:
Ngoja niwaambie kitu- hekima inataka 'to err on the side of caution'. Hii ina maana ya kwamba kwa vile kuna utata basi la kwanza lazima lifanyike kwanza - waapishwe kuwa wabunge kwanza kabla ya kuwa mawaziri. Binafsi naweza kukubali kuwa Rais anaweza kuwateua watu kuwa mawaziri baada ya kuwateua kuwa wabunge; lakini hawezi kuwaapisha kuwa mawaziri kabla ya kuwaapisha kuwa wabunge!
Tatizo ninaloliona ni kuwa watu wanachukulia kiapo cha ubunge ni 'optional' kwamba hakihusiani kabisa na mambo yote ambayo hyo mbunge anaqualify kuyafanya kama mbunge ikiwemo kuteuliwa kuwa waziri. Kwa vile basi waziri ni lazima atoke miongoni mwa wabunge basi inakuwa presumed kuwa ni wabunge waliokwisha kuapa kabisa siyo wa wateule. Tujiulize hivi kwanini baada ya Rais kuchaguliwa na kabla ya Bunge kuitwa - ikumbukwe Rais anaapishwa kabla ya wabunge kwanini Rais hatangazi mawaziri na waziri mkuu kwanza anasubiri hadi waape wakati tayari wapo wateule?
Hivyo, hoja kuwa mtu anaweza kuwa waziri wakati akiwa mbunge mteule haina mashiko na I can boldly say unconstitutional. Haijawahi kutokea hata mara moja - niko tayari kusahihishwa - kwa rais wa nchi yetu kuteua mawaziri kutoka wabunge wateule na kuwaapisha kuwa mawaziri kabla hawajaapishwa kuwa wabunge. Mara zote Rais ametangaza mawaziri baada ya wabunge kuapishwa na siyo kabla hawajaapishwa hata kama wapo wateule? Kwanini? Well, kwa sababu iko presumed ili mtu awe waziri ni lazima aapishwe kuwa mbunge kwanza.
Sasa tukikubali - kwa sababu ya ubishi - kwamba mbunge anaweza kuapishwa kabla hajaapishwa mbunge huko mbeleni mara tu baada ya uchaguzi na kabla ya kikao cha bunge watu wataanza kupeana vyeo au kujitahidi wapate vyeo na wakimkuta Rais dhaifu basi watu wanaweza kutangazwa mawaziri kabla ya waziri mkuu! Tunaposema tunajenga utawala wa kikatiba ni LAZIMA tuonekane tunaheshimu katiba hiyo na mazoea ambayo yamekuwepo.
Labda niulize tu - kama kuna mtu anajua wakati wowot eambap mbunge ametangazwa kuwa Waziri kabla ya kuapishwa labda kuna precedence ambayo tayari Kikwete anaifuata.
Kama hakuna ushauri wangu ni kuwa Rais awaapishe wale ambao tayari ni wabunge lakini wale waliowapya wasubiri hadi Bunge liitishwe au (si lazima Dodoma hata Karimjee linaweza kukutana kama Spika ataamua hivyo) ili kuwaapisha hawa wabunge. WE HAVE TO RESPECT THE CONSTITUTION. Pamoja na ubovu wake wote; it is the only one we have.
Ngoja niwaambie kitu- hekima inataka 'to err on the side of caution'. Hii ina maana ya kwamba kwa vile kuna utata basi la kwanza lazima lifanyike kwanza - waapishwe kuwa wabunge kwanza kabla ya kuwa mawaziri. Binafsi naweza kukubali kuwa Rais anaweza kuwateua watu kuwa mawaziri baada ya kuwateua kuwa wabunge; lakini hawezi kuwaapisha kuwa mawaziri kabla ya kuwaapisha kuwa wabunge!
Tatizo ninaloliona ni kuwa watu wanachukulia kiapo cha ubunge ni 'optional' kwamba hakihusiani kabisa na mambo yote ambayo hyo mbunge anaqualify kuyafanya kama mbunge ikiwemo kuteuliwa kuwa waziri. Kwa vile basi waziri ni lazima atoke miongoni mwa wabunge basi inakuwa presumed kuwa ni wabunge waliokwisha kuapa kabisa siyo wa wateule. Tujiulize hivi kwanini baada ya Rais kuchaguliwa na kabla ya Bunge kuitwa - ikumbukwe Rais anaapishwa kabla ya wabunge kwanini Rais hatangazi mawaziri na waziri mkuu kwanza anasubiri hadi waape wakati tayari wapo wateule?
Hivyo, hoja kuwa mtu anaweza kuwa waziri wakati akiwa mbunge mteule haina mashiko na I can boldly say unconstitutional. Haijawahi kutokea hata mara moja - niko tayari kusahihishwa - kwa rais wa nchi yetu kuteua mawaziri kutoka wabunge wateule na kuwaapisha kuwa mawaziri kabla hawajaapishwa kuwa wabunge. Mara zote Rais ametangaza mawaziri baada ya wabunge kuapishwa na siyo kabla hawajaapishwa hata kama wapo wateule? Kwanini? Well, kwa sababu iko presumed ili mtu awe waziri ni lazima aapishwe kuwa mbunge kwanza.
Sasa tukikubali - kwa sababu ya ubishi - kwamba mbunge anaweza kuapishwa kabla hajaapishwa mbunge huko mbeleni mara tu baada ya uchaguzi na kabla ya kikao cha bunge watu wataanza kupeana vyeo au kujitahidi wapate vyeo na wakimkuta Rais dhaifu basi watu wanaweza kutangazwa mawaziri kabla ya waziri mkuu! Tunaposema tunajenga utawala wa kikatiba ni LAZIMA tuonekane tunaheshimu katiba hiyo na mazoea ambayo yamekuwepo.
Labda niulize tu - kama kuna mtu anajua wakati wowot eambap mbunge ametangazwa kuwa Waziri kabla ya kuapishwa labda kuna precedence ambayo tayari Kikwete anaifuata.
Kama hakuna ushauri wangu ni kuwa Rais awaapishe wale ambao tayari ni wabunge lakini wale waliowapya wasubiri hadi Bunge liitishwe au (si lazima Dodoma hata Karimjee linaweza kukutana kama Spika ataamua hivyo) ili kuwaapisha hawa wabunge. WE HAVE TO RESPECT THE CONSTITUTION. Pamoja na ubovu wake wote; it is the only one we have.