Hii nayo kali! Ni mawazo yako tu au kuna sehemu umedesa?
Kama suala ni precedence ilikwisha tokea. Rais Ali Hassan Mwinyi alimteua Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mbunge na kisha akamteua kuwa Naibu waziri wa maji nishati na madini na akaanza kazi ya naibu waziri kabla hajaapa bungeni. Msingi hapa ni kwamba mbunge anakuwa mbunge Mara tu anapotangazwa na tume ya uchaguzi au kuteuliwa na malaka ya uteuzii yaani Rais
Hiyo ni wai kabisa kwani unakuwa Mbunge kwa kuchaguliwa ama kuteuliwa, kinachofata ni kuapishwa, na kuapisha si lazima iwe kuna kikao cha bunge kinachoendelea au lazima ukaapishwe ukumbi wa bunge. Unaapishwa popote tu mradi, ni kweli umeteuliwa na inahakikishwa ni kweli ndiye wewe uliyeteuliwa.
Kiapo sio kazi, kazi ni ulyoteuliwa, kiapo unaapishwa ukiwa wewe tayari upo kazini, huwezi kula kiapo kama bado hujateuliwa na haupo kazini.
Tusichanganye viapo na uteule.
Unakuwa waziri kwanza na kula kiapo kwanza, unakuwa Mbunge kwanza na si kula kiapo.
Nini maana ya kiapo?Kiapo hakina uzito wowote?kama mbunge anakuwa mbunge pindi tu anapochaguliwa, je kwa suala la raisi inakuwaje?Marekani kama tujuavyo raisi anachaguliwa mwishoni mwa mwaka kabla ya raisi aliyepo madarakani kumaliza kipindi chake lakini raisi mteule anaapishwa katikati ya Januari.Hata jirani zetu Kenya nao katika katiba yao mpya wameweka utaratibu huo kuwa raisi anashika madaraka na kuwa na mamlaka baada ya kuapishwa tu(Hii ni kuweka tu mambo wazi kwa sababu ilikuwa inajulikana kuwa mamlaka ya raisi yanaanza baada ya kuapishwa ndio maana Kibaki aliapishwa usiku ili keshoye aanze kuwashughulikia 'wapinzani'),why can'twe apply the same reasoning and argumemt on MPs?Please convince me otherwise...Kama suala ni precedence ilikwisha tokea. Rais Ali Hassan Mwinyi alimteua Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mbunge na kisha akamteua kuwa Naibu waziri wa maji nishati na madini na akaanza kazi ya naibu waziri kabla hajaapa bungeni. Msingi hapa ni kwamba mbunge anakuwa mbunge Mara tu anapotangazwa na tume ya uchaguzi au kuteuliwa na malaka ya uteuzii yaani Rais
Are you trying to say that 'certification' or the swearing in of members of parliament is a mere formality,an insignificant event that can be easily overlooked?That the swearing in of MPs serves no purpose except in the election of the Speaker of the house of assembly?Then,why do MPs elected after a by-election when there is no need to elect a speaker also go through the 'mere formality' of being sworn in?
If the law is not clear then it is better to follow a routine that stirs away from controversy.
Mkuu Kiranga,
Sheria zetu nyingi tume ziadapt hata bila kujua zinamaanisha nini.
Kiapo is oarth to the office. Rais akishachaguliwa anakuwa president elect mpaka akisha kula kiapo. Presidential institution inamuingia kwa kiapo tuu. Vivyo hivyo kwa wabunge, ubunge sio baada ya kuchaguliwa bali baada ya kiapo.
Swali la msingi ni ubunge unaanzia wapi?, ni baada tuu ya kuchaguliwa au kuapishwa?. Kama ni baada ya kuchaguliwa, basi kuapishwa hakuna maana yoyote!.
Nimebahatika kuhudhuria mabunge 4 yakiapishwa pale Dodoma, wabunge nao huitwa wabunge wateule!.
kule kwa EMT nilijibu hivi, na hapa ninajibu vile vile.
Mkuu Kiranga, you have raised an interesting point, you seem to imply that "taking an oath" is insignificant, out of topic within the same domain, can we say that "Someone becomes a president as soon as the electoral committee announces the winner, one need not be sworn in"
Kama suala ni precedence ilikwisha tokea. Rais Ali Hassan Mwinyi alimteua Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mbunge na kisha akamteua kuwa Naibu waziri wa maji nishati na madini na akaanza kazi ya naibu waziri kabla hajaapa bungeni. Msingi hapa ni kwamba mbunge anakuwa mbunge Mara tu anapotangazwa na tume ya uchaguzi au kuteuliwa na malaka ya uteuzii yaani Rais
Well...inawezekana, lakini katiba inasemaje? au tunafumbia macho tu maana ni mambo yasiyotuhusu hayo?
Kama suala ni precedence ilikwisha tokea. Rais Ali Hassan Mwinyi alimteua Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mbunge na kisha akamteua kuwa Naibu waziri wa maji nishati na madini na akaanza kazi ya naibu waziri kabla hajaapa bungeni. Msingi hapa ni kwamba mbunge anakuwa mbunge Mara tu anapotangazwa na tume ya uchaguzi au kuteuliwa na malaka ya uteuzii yaani Rais
Nakubaliana na MMKJJ -- ni lazima mkuu wan chi afuate sheria kanuni, desturi na hata mazoea ikibidi katika masuala ya namna hii. Na iwapo sheria/kanuni ina utata, au iko kimya basi ni vyema ku-act on the side of caution kama MMKJJ anayoshauri.
Lakini serikali yetu, hasa hii ya JK imekuwa ina act with impunity mara kadha kwa kutegemea kwamba hakuna chochote kinachoweza kutokea, na kikitokea dola inaweza ku-crush tu, au kwamba wana-capitalize katika unyonge wetu.
Kuna mtu ametaja hapo nyuma kuhusu JK na EPA. Huyu mjamaa (JK) alikwenda Bungeni akawa Prosecutor na jaji na kutoa hukumu kwamba walioiba EPA warejeshe hela ama sivyo jela au kitu namna hii kama wengi tulivyomuelewa.
Na ndivyo ikawa waliorudisha (inasemekana) walipona, na waliogoma kurudisha (akina Farijala) wako jela.
Sijui JK alitumia kifungu gani cha Katiba, sheria ipi au kanuni gani.
Ni impunity alichikifanya na kwa lengo lakie maalum kama sote tunavyofahamu.
Ni sawasawa na Obama asimame katika Bunge la Congress na kuwahukumu watuhumiwa wa kikundi cha Mafia.
Na kabla ya uchaguzi wa mwaka juzi (2010) kulizuka suala (katika vikao vya CCM-NEC) kuhusu ugombea wa Dr Shein katika nafasi ya urais wa Zanzibar kwamba hakuwa na sifa za kugombea chini ya Katiba/Sheria za huko kwa sababu hakuwa amejiandikisha kama mpiga kura katika daftari la kule.
Hilo suala likafunikwa ki-ujeuri jeuri tu bila shaka kutokana na ukweli kwamba chama kikuu cha upizani kule CUF tayari kilikuwa ne-utralised) katika makubaliano baina yake na CCM kwa hivyo hakukuwa na credible force ya kuweka pingamizi mahakamani.
Mimi naona wakati tunaelekea kwenye Katiba mpya, ni vyema tukaanza kuiheshimu hii ya sasa na iwapo kuna utata, yuwe tahadhari. Bila kuonyesha mfano huu, nina hofu kwamba hata Katiba tarajiwa itakuwa inakiukwa kiujeuri jeuri tu.
Ibara ya 68 inatuambia "wabunge" wanamchagua Spika.
Na kwa sababu wanaomchagua Spika wanakuwa hawajaapishwa na Spika bado (kwa sababu Spika hajachaguliwa) kwa hivyo basi, wabunge hawa wanaomchagua Spika wanakuwa wamepata ubunge wao kabla ya kumchagua Spika, na kwa hiyo, kabla hawajaapishwa.
Nini maana ya kiapo?Kiapo hakina uzito wowote?kama mbunge anakuwa mbunge pindi tu anapochaguliwa, je kwa suala la raisi inakuwaje?Marekani kama tujuavyo raisi anachaguliwa mwishoni mwa mwaka kabla ya raisi aliyepo madarakani kumaliza kipindi chake lakini raisi mteule anaapishwa katikati ya Januari.Hata jirani zetu Kenya nao katika katiba yao mpya wameweka utaratibu huo kuwa raisi anashika madaraka na kuwa na mamlaka baada ya kuapishwa tu(Hii ni kuweka tu mambo wazi kwa sababu ilikuwa inajulikana kuwa mamlaka ya raisi yanaanza baada ya kuapishwa ndio maana Kibaki aliapishwa usiku ili keshoye aanze kuwashughulikia 'wapinzani'),why can'twe apply the same reasoning and argumemt on MPs?Please convince me otherwise...
ndicho kitu pekee ambacho katiba inawaruhusu kufanya kabla hawajaapishwa.