Ernest Nyanda wa Star TV, mnapojadili Sheria za Uchaguzi waalike wanasheria mahiri. Usizoe tu wachambuzi wa mitaani, wanakufelisha!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,957
141,946
Kilichonishangaza leo katika mjadala wa Star tv Tuongee asubuhi, mada ikiwa " Muungano wa vyama vya siasa wakati wa uchaguzi " ni kwamba wageni wote wawili waliotambulishwa kama wanasheria wameshindwa kutupa tofauti kati ya Muungano na Ushirikiano.

Wamesisitiza kuwa penye ushirikiano lazima pana Muungano.

Nikusihi tu ndugu yangu mtozi tusichanganye siasa na maswala nyeti ya taaluma, sheria za uchaguzi zinapaswa kutafsiriwa kwa usahihi na ni vema mngewaalika Wanasheria wa NEC.

Maendeleo hayana vyama!
 
Anthony Diallo mwaka 2015 Magufuli akiwa Nyamagana alimuapia kuwa atamnyanyua kibiashara.

Mwaka 2017 TRA wakamletea madai ya kodi ya Bilioni 5!

Sahara media ikapotea!

Mwaka 2020 hata Magufuli alipokuwa Mwanza kwenye kampeni hakutaja jina lake!
Kwahiyo Diaklo yuko Chadema?
 
Hilo ndio tatizo la media karibu zote za bongo. Katika mada nyingi huwa wanaita watu wa kawaida wasio na taaluma husika ili mradi kipindi kiende hewani.

Nashauri wajaribu kusikikiza na kuangalia media za nje walau watajifunza kitu..maana lengi sio kurusha kipindi pekee bali wananchi waelewe mada husika.
 
Hilo ndio tatizo la media karibu zote za bongo. Katika mada nyingi huwa wanaita watu wa kawaida wasio na taaluma husika ili mradi kipindi kiende hewani.

Nashauri wajaribu kusikikiza na kuangalia media za nje walau watajifunza kitu..maana lengi sio kurusha kipindi pekee bali wananchi waelewe mada husika.
Hakika mkuu!
 
Media zijifunze hata Kama sio Wanasheria kutoka NEC Basi watafute Wanasheria waliobobea sio Hawa chipkizi. Kusoma Sheria na kuitafsiri Sheria ni vitu viwili tofauti. Ukiangaliwa hata mwanasheria wa ACT Wazalendo baada ya kupitia vifungu vyema akaona kuna walakini upande wao akaamua kuukwepa mtego wa Msajili akabaki na msimamoma mmoja tu wa wao hawajafanya alichosema Msajili bali ni kuonesha Imani yao tu kwa mtu mwingine.

Nauhakika Msajili anaweza asiwasumbue tena.

Wasalaam.
 
Hilo ndio tatizo la media karibu zote za bongo. Katika mada nyingi huwa wanaita watu wa kawaida wasio na taaluma husika ili mradi kipindi kiende hewani.

Nashauri wajaribu kusikikiza na kuangalia media za nje walau watajifunza kitu..maana lengi sio kurusha kipindi pekee bali wananchi waelewe mada husika.
Niliangalia kipindi wale hawkidhi kuitwa wachambuzi. Sijui wanasomea au ni wao tu wsnsjipschika majina makubwa.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Anthony Diallo mwaka 2015 Magufuli akiwa Nyamagana alimuapia kuwa atamnyanyua kibiashara.

Mwaka 2017 TRA wakamletea madai ya kodi ya Bilioni 5!

Sahara media ikapotea!

Mwaka 2020 hata Magufuli alipokuwa Mwanza kwenye kampeni hakutaja jina lake!
Mkuu, naona umeenda nje ya mstari wa lengo la mleta uzi huu!
 
Back
Top Bottom