Eric Shigongo....Hapa umepitiliza !

Kizimkazimkuu

JF-Expert Member
Nov 8, 2007
337
234
Nimesikitishwa sana na habari iliyochapishwa na gazeti la Ijumaa wikienda (Global publishers) inayohusu watotot walioenda mahakamani kumlilia mtoto wao ambaye ni mtuhumiwa wa biashara ya ukahaba. Kitendo cha kuwapiga picha, kuwataja majina na wanapoishi na kusoma si dhani kama ni sahihi. Watoto hawa leo wataanza kuitwa watoto wa changudoa mitaani na shule. I can imagine mateso ya kisaikolojia watakayoyapata na naweza kufikiria madhara ya muda mrefu yatakayoombatana na kadhia hii. Habari hii ingeweza kukamilika na kueleweka pasipo kuweka majina na picha za watoto hawa. Tumeshuhudia mara kadhaa mkiandika habari za maneno kama "kigogo fulani", jina kapuni nk...kwa nini haikuwa hivi kwa watoto hawa. Kwa nature ya kazi yangu nimekutana na watu wengi ambao leo wanaishi maisha ya tabu kwa kuwa waliacha shule.....na moja ya savavu kubwa ni kunyanyaswa kwa namna moja au nyingine. halii hii hupeleka mtu kukua huku amekosa "kujiamini" (self esteem). hali hii ina madhara makubwa sana katika maisha yetu ya kila siku...tabia zetu, uwezo wa kufanya maamuzi, uongozi nk hujengwa katika kipindi mtoto anakua. Nawasikitikia sana hawa watoto.....habari hii iko hapa
 
Nimesikitishwa sana na habari iliyochapishwa na gazeti la Ijumaa wikienda (Global publishers) inayohusu watotot walioenda mahakamani kumlilia mtoto wao ambaye ni mtuhumiwa wa biashara ya ukahaba. Kitendo cha kuwapiga picha, kuwataja majina na wanapoishi na kusoma si dhani kama ni sahihi. Watoto hawa leo wataanza kuitwa watoto wa changudoa mitaani na shule. I can imagine mateso ya kisaikolojia watakayoyapata na naweza kufikiria madhara ya muda mrefu yatakayoombatana na kadhia hii. Habari hii ingeweza kukamilika na kueleweka pasipo kuweka majina na picha za watoto hawa. Tumeshuhudia mara kadhaa mkiandika habari za maneno kama "kigogo fulani", jina kapuni nk...kwa nini haikuwa hivi kwa watoto hawa. Kwa nature ya kazi yangu nimekutana na watu wengi ambao leo wanaishi maisha ya tabu kwa kuwa waliacha shule.....na moja ya savavu kubwa ni kunyanyaswa kwa namna moja au nyingine. halii hii hupeleka mtu kukua huku amekosa "kujiamini" (self esteem). hali hii ina madhara makubwa sana katika maisha yetu ya kila siku...tabia zetu, uwezo wa kufanya maamuzi, uongozi nk hujengwa katika kipindi mtoto anakua. Nawasikitikia sana hawa watoto.....habari hii iko hapa

Ndugu yangu;
Hata mimi napata shida sana kwa maandishi kama haya ambayo ni hakika yanakuwa na longterm effects kwenye maisha ya watoto hao. Nashindwa kuelewa nini makusudi ya mwandishi kama huyu. Je hata Mhariri wa gazeti hili hakuweza kuona hili? Hivi Global Publishers wanafanya hivi kwasababu hawa WATOTO hawana uwezo wa kuwafungulia kesi ya madai Mahakamani?

Nafikiri waandishi wa habari wa aina hii wanapaswa kurudi Shule ili kuweza kujua msingi wa kuandika habari. Hii hali imeniumiza sana na kama ningekuwa LAWYER by profession, hakika ningejitolea kusimamia kesi kwa niaba ya hawa Watoto hawa dhidi ya GLOBAL PUBLISHERS.
 
Shigongo ni aina ya vijana wakati n wenye tamaa ya hela na madaraka.
Shigongo hajui ethics za kazi yake.
Shigongo hafai kwa Hanoi ya utandawzi lei
Mujini huyu wa ccm ambae ni good for nothing!
 
yote hii itakwisha kama tutakuwa na specific Privacy Law au data protection law.
sheria hii tatizo hata kama itapitishwa na bunge lazima ipelekwe
Umoja wa Ulaya ambako kuna kitu wanakiita working party chini ya
kifungu 29 cha Data Protection Directive ambao ndio wanaahakiki kama
sheria tutakayopitisha itaendana na matakwa yao of kozi ni biashara
zaidi kwa kuwa kuna restrictions za data flow kutoka europe kwenda
3rd world countries.Ikumbukwe hata China,japan,austarlia na USA sheria
zao za data protection zimehakikiwa na hawa jamaa wa ulaya kwa
hivo utaona kuna mwingiliano wa kiutawala
kwa ufupi sheria hizi zinatoa mipaka hata kwa wanahabari kutumia
picha au habari za mtu bila idhini yake sembuse watoto.
Ni mda sasa wa kuwalilia wabunge wafanye hiyo kazi,
Hata hivo mhanga wa hili jambo bado anaweza kutumia
sheria zingine kama penal code au katiba kupinga suala hili
la wanahabari kuuza magazeri kwa kuharibu au kuingilia uhuru wa mtu binafsi.
 
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Kwa hili Shigongo amechemsha.
 
Halafu anasema "IN GOD WE TRUST" kweli????Huyu angesema "in money we trust" ni lazima pesa aipate kwa njia yoyote ile. Hafuati maadili ya uandishi kabisa. Ni kuharibia wau maisha yao tu.
 
Nimesikitishwa sana na habari iliyochapishwa na gazeti la Ijumaa wikienda (Global publishers) inayohusu watotot walioenda mahakamani kumlilia mtoto wao ambaye ni mtuhumiwa wa biashara ya ukahaba. Kitendo cha kuwapiga picha, kuwataja majina na wanapoishi na kusoma si dhani kama ni sahihi. Watoto hawa leo wataanza kuitwa watoto wa changudoa mitaani na shule. I can imagine mateso ya kisaikolojia watakayoyapata na naweza kufikiria madhara ya muda mrefu yatakayoombatana na kadhia hii. Habari hii ingeweza kukamilika na kueleweka pasipo kuweka majina na picha za watoto hawa. Tumeshuhudia mara kadhaa mkiandika habari za maneno kama "kigogo fulani", jina kapuni nk...kwa nini haikuwa hivi kwa watoto hawa. Kwa nature ya kazi yangu nimekutana na watu wengi ambao leo wanaishi maisha ya tabu kwa kuwa waliacha shule.....na moja ya savavu kubwa ni kunyanyaswa kwa namna moja au nyingine. halii hii hupeleka mtu kukua huku amekosa "kujiamini" (self esteem). hali hii ina madhara makubwa sana katika maisha yetu ya kila siku...tabia zetu, uwezo wa kufanya maamuzi, uongozi nk hujengwa katika kipindi mtoto anakua. Nawasikitikia sana hawa watoto.....habari hii iko hapa

Mambo ya mpuuzi anaejiita Shakespeare wa bongo.. Shule na exposure muhimu sana ndugu zangu kutokea kuuza magazeti Pamba road Mwanza na kuja mjini imekuwa balaa. Kama hawezi au anaona aibu kurudi shule angesoma hata kale kakitabu ka Ethics za uandishi kalikotolewa na media council kangemsaidia..
 
hata mimi niliposoma hiyo habari nilistaajabu kuona picha za hao watoto bila hata kufichwa sura zao. Halafu shogongo naye ni after money hana cha ulokole wala nini. Kuna mambo mengi yanaandikwa na magazeti yake yanakuwa na uongo mwingi nishaona vitu kibao anavitoa kwenye mtandao vimetokea nchi za jirani huko anadai ni hapa bongo.
He is real after money na madaraka but sometimes anakosea may be because naye ni binadamu but he got to watch his steps
 
Halafu anasema "IN GOD WE TRUST" kweli????Huyu angesema "in money we trust" ni lazima pesa aipate kwa njia yoyote ile. Hafuati maadili ya uandishi kabisa. Ni kuharibia wau maisha yao tu.

Mnatabia ya kulalamika kuna kabila linapenda pesa je na yeye ni mmoja wapo?
 
nadhani kwa sasa anatumia picha za matukio mengi kuvutia biashara yake .. imefikia hatu hadi kuchukua picha kwenye Facebook na kuweka kwenye magazeti kuonyesha mahusiano mbali mbali
 
Ndio madhara ya kukumbatiwa na Magamba.Awaombe radhi watoto pamoja na mama yao tena kupitia Kurasa za mbele za magaazeti yake na gaazeti la serikali.mpuuzi sana huyu kijana,yale magaazet huwa hayahaririwi yele
 
Hapa ndiyo TAMWA ya Ananilea Nkya na LHRC ya Helen Kijo Bisimba walipaswa kuonyesha ubavu wao
 
Nimesikitishwa sana na habari iliyochapishwa na gazeti la Ijumaa wikienda (Global publishers) inayohusu watotot walioenda mahakamani kumlilia mtoto wao ambaye ni mtuhumiwa wa biashara ya ukahaba. Kitendo cha kuwapiga picha, kuwataja majina na wanapoishi na kusoma si dhani kama ni sahihi. Watoto hawa leo wataanza kuitwa watoto wa changudoa mitaani na shule. I can imagine mateso ya kisaikolojia watakayoyapata na naweza kufikiria madhara ya muda mrefu yatakayoombatana na kadhia hii. Habari hii ingeweza kukamilika na kueleweka pasipo kuweka majina na picha za watoto hawa. Tumeshuhudia mara kadhaa mkiandika habari za maneno kama "kigogo fulani", jina kapuni nk...kwa nini haikuwa hivi kwa watoto hawa. Kwa nature ya kazi yangu nimekutana na watu wengi ambao leo wanaishi maisha ya tabu kwa kuwa waliacha shule.....na moja ya savavu kubwa ni kunyanyaswa kwa namna moja au nyingine. halii hii hupeleka mtu kukua huku amekosa "kujiamini" (self esteem). hali hii ina madhara makubwa sana katika maisha yetu ya kila siku...tabia zetu, uwezo wa kufanya maamuzi, uongozi nk hujengwa katika kipindi mtoto anakua. Nawasikitikia sana hawa watoto.....habari hii iko hapa
Umeandika vizuri mno.Kwenye vigogo hawatajwi ila kwa maskini,majina na mtaa unatajwa.
Mungu anisamehe lakini simpendi Shigongo kwani hujipatia pesa kwa ujanja tu.
Magazeti yake mengi vichwa na habari na habari iliyomo ndani ni tofauti au haina uzito unaolingana.
 
Back
Top Bottom