Equatorial Guinea: Aliyekaa madarakani kwa miaka 43, anagombea tena Urais

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
1664079003298.png

Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, ambaye ameiongoza nchi hiyo kwa miaka 43, amethibitisha kuwa atagombea tena katika uchaguzi wa Novemba.

Makamu wa Rais, Teodoro Nguema Obiang Mangue ambaye ni mtoto wa Rais huyo, alitoa tangazo hilo kupitia Twitter siku ya Ijumaa akisema ni "Kwa sababu ya haiba yake, uongozi wake na uzoefu wake wa kisiasa."

Chama cha Obiang cha Democratic Party of Equatorial Guinea kinashikilia viti 99 kati ya 100 katika Bunge linalomaliza muda wake na viti vyote 70 vya seneti.

Kwa miaka mingi nchi imekuwa ikitegemea zaidi mafuta na gesi, ambayo huchangia asilimia 75 ya mapato, ambayo mengi yako mikononi mwa idadi ndogo ya watu.

Kulikuwa na uvumi kwamba mwanawe Obiang anaweza kuchaguliwa kuwa mgombea wa chama hicho lakini tangazo la Ijumaa lilithibitisha kuwa Rais Teodoro ana mpango wa kurefusha utawala wake ambao mara zote hukosa mshindani kutokana na aina ya utawala nchini humo.
 
View attachment 2367269
Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, ambaye ameiongoza nchi hiyo kwa miaka 43, amethibitisha kuwa atagombea tena katika uchaguzi wa Novemba.

Makamu wa Rais, Teodoro Nguema Obiang Mangue ambaye ni mtoto wa Rais huyo, alitoa tangazo hilo kupitia Twitter siku ya Ijumaa akisema ni "Kwa sababu ya haiba yake, uongozi wake na uzoefu wake wa kisiasa."

Chama cha Obiang cha Democratic Party of Equatorial Guinea kinashikilia viti 99 kati ya 100 katika Bunge linalomaliza muda wake na viti vyote 70 vya seneti.

Kwa miaka mingi nchi imekuwa ikitegemea zaidi mafuta na gesi, ambayo huchangia asilimia 75 ya mapato, ambayo mengi yako mikononi mwa idadi ndogo ya watu.

Kulikuwa na uvumi kwamba mwanawe Obiang anaweza kuchaguliwa kuwa mgombea wa chama hicho lakini tangazo la Ijumaa lilithibitisha kuwa Rais Teodoro ana mpango wa kurefusha utawala wake ambao mara zote hukosa mshindani kutokana na aina ya utawala nchini humo.
Greed for power
 
View attachment 2367269
Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, ambaye ameiongoza nchi hiyo kwa miaka 43, amethibitisha kuwa atagombea tena katika uchaguzi wa Novemba.

Makamu wa Rais, Teodoro Nguema Obiang Mangue ambaye ni mtoto wa Rais huyo, alitoa tangazo hilo kupitia Twitter siku ya Ijumaa akisema ni "Kwa sababu ya haiba yake, uongozi wake na uzoefu wake wa kisiasa."

Chama cha Obiang cha Democratic Party of Equatorial Guinea kinashikilia viti 99 kati ya 100 katika Bunge linalomaliza muda wake na viti vyote 70 vya seneti.

Kwa miaka mingi nchi imekuwa ikitegemea zaidi mafuta na gesi, ambayo huchangia asilimia 75 ya mapato, ambayo mengi yako mikononi mwa idadi ndogo ya watu.

Kulikuwa na uvumi kwamba mwanawe Obiang anaweza kuchaguliwa kuwa mgombea wa chama hicho lakini tangazo la Ijumaa lilithibitisha kuwa Rais Teodoro ana mpango wa kurefusha utawala wake ambao mara zote hukosa mshindani kutokana na aina ya utawala nchini humo.
Hii ni nchi nyingine isiyojitambua kama ilivyo Tz
 
Anataka kufia madarakani, umri umeenda sana, hivi anakwenda kubadilisha nini ambacho alishindwa kwa miaka 43? Africa bara moto.
 
What is democracy by the way?
Hayo ndiyo makubaliano ya waguinea kama wao wamekubali mpaka chama chake kina viti 99 kati ya 100 sisi ni nani mpaka tukosoe mskubaliano yao?
Marekani wao hupishana kila baada ya miaka minne, Rwanda kila baada ya miaka saba Tanganyika sisi ni miaka mitano haya kule uingereza uongozi ni wa familia hiyohiyo kila nchi au jamii ina makubaliano aina gani democracy wanayoitaka as long as wao wameridhika kwanini sisi wengine tuone wanakosea? Hakuna uniform ktk democracy kila nchi na aina yao ya definition of democracy
 
Back
Top Bottom