Mtoto wa Rais wa Equatorial Guinea akamatwa kwa kuuza Ndege ya Serikali

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,117
20230116_203246.jpg
Mmoja wa watoto wa mtawala mkongwe wa Equatorial Guinea amekamatwa na kuwekwa kizuizi cha nyumbani kwa tuhuma za kuuza Ndege inayomilikiwa na Shirika la Ndege la Taifa kinyume cha sheria.

Kw a mujibu wa Kituo cha TV cha Taifa, TVGE, Mamlaka zilifungua uchunguzi mwishoni mwa Novemba 2022 "baada ya kugundua kuwa Ndege aina ya ATR 72-500 mali ya Shirika la Ndege la kitaifa (Ceiba Intercontinental) ilikuwa imepotea".

Ndege hiyo ilikuwa imetumwa Uhispania mnamo 2018 kwa matengenezo ya kawaida, TVGE ilisema.

Obiang anashukiwa kuiuza kwa Binter Technic, kampuni ya matengenezo ya ndege iliyoko Las Palmas kwenye kisiwa cha Uhispania cha Grand Canary, ilisema.

=============

One of the sons of Equatorial Guinea's veteran ruler has been arrested on suspicion of illegally selling a plane owned by the national airline, state TV said Tuesday.

Ruslan Obiang Nsue, whose iron-fisted father President Teodoro Obiang Nguema Mbasogo has ruled since 1979, was detained on Monday and placed under house arrest, TVGE said.

The channel said authorities opened an inquiry in late November "after discovering that an ATR 72-500 belonging to the national airline (Ceiba Intercontinental) had gone missing".

The plane had been sent to Spain in 2018 for routine maintenance, TVGE said.

Obiang is suspected of selling it to Binter Technic, an aircraft maintenance company based in Las Palmas on the Spanish island of Grand Canary, it said.

The ATR 72-500 is a turboprop developed in the late 1980s by the French-Italian maker ATR with a capacity of up to 74 passengers.

Obiang is a former junior minister for sport and youth and previous head of the airline who is today chief of airport services companies, Ceiba Aeropuertos.

His half-brother, Vice President Teodoro Nguema Obiang Mangue, said on Twitter, "Ruslan Obiang has admitted that he was the one who sold Ceiba's ATR."

"I am not going to let myself be swayed by family ties or favouritism, and this is why I ordered his immediate arrest and for him to be handed over to justice."

The two men's 80-year-old father, President Obiang, is the longest-serving head of state alive today, excluding monarchs.

He seized power in August 1979, toppling his uncle, Francisco Macias Nguema, who was then executed by firing squad.

Firmly suppressing dissent and surviving a string of attempted coups, Obiang has remained at the helm of the oil-rich central African state ever since.

But the wealth is concentrated in the hands of just a few and four-fifths of the population of 1.4 million live below the poverty line, according to World Bank figures.

The country also has a reputation for graft, ranking 172 out of 180 nations on Transparency International's 2021 Corruption Perceptions Index.

News about the disappearance of the airliner, and its suspected sale, emerged in December, trigging a wave of indignation.

Obiang has long been viewed as grooming Teodoro as his successor.

Speculation grew he would hand over the reins last year at presidential elections as his public appearances became rarer.

But those expectations were quashed after Teodorin was enveloped in scandals abroad over assets suspected to have been acquired illegally.

France, Britain and the United States have ordered him to forfeit millions of dollars in assets, from mansions to luxury cars, while France also handed him a three-year suspended sentence and a fine of 30 million euros (dollars).

President Obiang ran for a sixth term in the November vote, and was credited with 94.9 percent of the ballot.

THE EAST AFRICAN
 
Wizi mkubwa kama huu huwa unanifurahisha sana.Sio kuiba kuku.Miongoni mwa wizi mfano huu ni ule wa kuiba daraja nchini India.

Watu asubuhi wanaamka wanashindwa kuendelea na safari na wala hakukuwa na mafuriko.Mwengine ni ule wa miaka ya nyuma Nigeria ambako ndege iliyobeba shehena ya pesa ilisimamishwa kwenye njia ya kurukia na wezi wakaondoka na magunia ya noti.

Mwengine ni Afrika kusini ambako wezi waliondoka na ATM yote nzima wakaenda kuivunja nyumbani kwao.
 
Huyo ndio mwanaume Sasa.
Watu hawajielewi mi Africa ndio tulivyo ukipata nafasi trust me we pigaaa
 
20230116_203246.jpg
Mmoja wa watoto wa mtawala mkongwe wa Equatorial Guinea amekamatwa na kuwekwa kizuizi cha nyumbani kwa tuhuma za kuuza Ndege inayomilikiwa na Shirika la Ndege la Taifa kinyume cha sheria.

Kw a mujibu wa Kituo cha TV cha Taifa, TVGE, Mamlaka zilifungua uchunguzi mwishoni mwa Novemba 2022 "baada ya kugundua kuwa Ndege aina ya ATR 72-500 mali ya Shirika la Ndege la kitaifa (Ceiba Intercontinental) ilikuwa imepotea".

Ndege hiyo ilikuwa imetumwa Uhispania mnamo 2018 kwa matengenezo ya kawaida, TVGE ilisema.

Obiang anashukiwa kuiuza kwa Binter Technic, kampuni ya matengenezo ya ndege iliyoko Las Palmas kwenye kisiwa cha Uhispania cha Grand Canary, ilisema.

=============

One of the sons of Equatorial Guinea's veteran ruler has been arrested on suspicion of illegally selling a plane owned by the national airline, state TV said Tuesday.

Ruslan Obiang Nsue, whose iron-fisted father President Teodoro Obiang Nguema Mbasogo has ruled since 1979, was detained on Monday and placed under house arrest, TVGE said.

The channel said authorities opened an inquiry in late November "after discovering that an ATR 72-500 belonging to the national airline (Ceiba Intercontinental) had gone missing".

The plane had been sent to Spain in 2018 for routine maintenance, TVGE said.

Obiang is suspected of selling it to Binter Technic, an aircraft maintenance company based in Las Palmas on the Spanish island of Grand Canary, it said.

The ATR 72-500 is a turboprop developed in the late 1980s by the French-Italian maker ATR with a capacity of up to 74 passengers.

Obiang is a former junior minister for sport and youth and previous head of the airline who is today chief of airport services companies, Ceiba Aeropuertos.

His half-brother, Vice President Teodoro Nguema Obiang Mangue, said on Twitter, "Ruslan Obiang has admitted that he was the one who sold Ceiba's ATR."

"I am not going to let myself be swayed by family ties or favouritism, and this is why I ordered his immediate arrest and for him to be handed over to justice."

The two men's 80-year-old father, President Obiang, is the longest-serving head of state alive today, excluding monarchs.

He seized power in August 1979, toppling his uncle, Francisco Macias Nguema, who was then executed by firing squad.

Firmly suppressing dissent and surviving a string of attempted coups, Obiang has remained at the helm of the oil-rich central African state ever since.

But the wealth is concentrated in the hands of just a few and four-fifths of the population of 1.4 million live below the poverty line, according to World Bank figures.

The country also has a reputation for graft, ranking 172 out of 180 nations on Transparency International's 2021 Corruption Perceptions Index.

News about the disappearance of the airliner, and its suspected sale, emerged in December, trigging a wave of indignation.

Obiang has long been viewed as grooming Teodoro as his successor.

Speculation grew he would hand over the reins last year at presidential elections as his public appearances became rarer.

But those expectations were quashed after Teodorin was enveloped in scandals abroad over assets suspected to have been acquired illegally.

France, Britain and the United States have ordered him to forfeit millions of dollars in assets, from mansions to luxury cars, while France also handed him a three-year suspended sentence and a fine of 30 million euros (dollars).

President Obiang ran for a sixth term in the November vote, and was credited with 94.9 percent of the ballot.

THE EAST AFRICAN
Huyo mtoto ana damu ya kikwete .....
 
Wizi mkubwa kama huu huwa unanifurahisha sana.Sio kuiba kuku.Miongoni mwa wizi mfano huu ni ule wa kuiba daraja nchini India.

Watu asubuhi wanaamka wanashindwa kuendelea na safari na wala hakukuwa na mafuriko.Mwengine ni ule wa miaka ya nyuma Nigeria ambako ndege iliyobeba shehena ya pesa ilisimamishwa kwenye njia ya kurukia na wezi wakaondoka na magunia ya noti.

Mwengine ni Afrika kusini ambako wezi waliondoka na ATM yote nzima wakaenda kuivunja nyumbani kwao.
Ebu funguka kidogo, vinginevyo utakuwa na vinasaba na The Bolds.

Hivi ile yule mwewe wa Wasadikika tangu tuambiwe alishikiliwa kwa ujanja kwamba kaenda matibabu kule kwa weupe imefikia hatua gani? Matukio yetu weusi hayaachani, mganga wetu ni mmoja-masharti ya tambiko yanafanana.

Unasemaje mjomba Mshana Jr
 
Back
Top Bottom