Bwana Newton Principles zake zilinisumbua sana kwenye somo la Physics hahahah
Nyutoni kanuni zake tunaishi nazo siku zote za maisha yetu hapa Duniani kwa kujua ama kutokujua.Equations of motion za bwana nyutoni kwenye mechanical hizo lazima uishi nazo.
Ipo ya 13..Sijaona Emc² Lakini pia sijaona I =V/R na a =V2-V1/t hii imesaidia sana kwenye mausafiri
Kale kazee kalikuwa vizuri kwa hedi yake. Alikuwa na kichwa yule hakuwa na "NDONGA"Nyutoni kanuni zake tunaishi nazo siku zote za maisha yetu hapa Duniani kwa kujua ama kutokujua.
Vizazi vyote vijavyo Duniani lazima waziishi kanuni zake.
Nyutoni sijui alikua anafikiri nini kichwani mwake.
Faraday ameleta mapinduzi makubwa kwenye ishu nzima ya kufua umeme, ila sidhani kama anapewa umuhimu sana. Wakati alifanya gunduzi iliyoumiza vichwa vya watu kwa muda mrefuMTU kwenye IQ namba 1 duniani yeye hakuwa na theory yoyote iliyobadilisha ulimwengu licha ya kuwa wa kwanza kuipatia duniani mwanga na kufanya kurahisisha mawasiliano-Nikola Tesla.
Pierre Vernier calliperNinakumbuka mambo ya Engineer calliper nimesahau hili jina
Bernoulli's equation?...
Laws za fizikia za form 1&2 hata uniamshe saa 8 naziimba zote enzi hizo. Ila sasa hivi... Hamna kituBwana Newton Principles zake zilinisumbua sana kwenye somo la Physics hahahah
Relativity ya Einstein ipo hapo mbona..Sijaona Emc² Lakini pia sijaona I =V/R na a =V2-V1/t hii imesaidia sana kwenye mausafiri
Fluid Mechanics sio?..Bernoulli's equation?...
By the way, square root of -1 is i.