Equations that changed the world

Equations that changed the world

Mambo hayo yalikuwa yananikela kweli ma pertubation, hilbert space, operator na hiyo shrodinger's ahh. Mi mpenzi sana wa classical physics mambo ya V = IR
Utakuwa ulikuwa hauelewi, hesabu ni moja ya starehe kubwa sana maishani baada ya kumeditate juu ya neno la Mungu wa Mbinguni.
 
Tutakosa wataalamu wakutengeneza hizo systems zenyewe.. Mfano unataka kutengeneza mambo ya projection ili utengeneze system ya kuproject kitu lazima tayari uwe unazijua kanuni za projection ipasavyo, ujue projection ni nink, kanuni zake, ujue trigonometry vizuri, law za motions vizuri.. Kisha hivyo vitu ndio unavitengenezea system ambayo inarahisisha kazi
Kwamba upo kigamboni ukitaka kutupa bomu lifike tandale kwa tumbo pale, unabonyeza kitufe ambapo kinaruhusu sytem ipige hesabu za umbali, speed ya bomu, ipite urefu gani ili isiguse jemgo refu zaidi kati kati(posta) bomu likalipua targert tofauti, angle ya kupigia bomu na kadhalika
Badala ya kukaa na mikaratasi kuanza kupiga hesabu zinazobeba muda mrefu..

Ila tunapoelekea roboti watabeba kila kitu.
Thanks! makaveli10 Volatility Mawembasa1979 nimepokea jawabu kutoka kwenu.
 
Baada ya kukosekana kwa equations za baba wa algebra na mgunduzi wa zero(0) ndg Muhammad ibn Musa al-Khwarizmi, pamoja na fundi pekee wa hisabati ndg Augustin-Louis Cauchy, ninadiriki kusema aliyeleta uzi huu ana mahaba binafsi na kazi za hao aliowataja.
 
Samahani! Hivi hizi equations huwa zinatumika wapi baada ya Kumaliza masomo?
-
Benki naona calculators
Ndege naona programmed systems
Engineers naona scientific calculators na programmed softwares
Doctors naona programmed systems & softwares
Ni lazima upass mitihani kabla hujafika huko. Sikuzote shule ni ngumu kuliko kazi.
 
Mambo yamebadirika sana aisee.
Mwaka 1807 Majeshi ya ufaransa chini ya Napoleone yalipokuwa yakiiteka Ujerumani, Napoleone aliyaagiza yasiushambulie mji wa Gortingen, sababu katika Mji huo alikuwa akiishi mwanamahesabu Mkubwa duniani Carl Friedrich Gauss.

Leo watu maarufu ni akina Makonda na Rafiki yake Piere
.
😂😂😂
Na akina "aunt Ezekiel"
 
Kumradhi, hivi kwa hao waliovumbua wote kunaye Mweusi hata mmoja? Nani aliyeturoga, tuna nini hata kimoja cha kutumia ubongo na kufikirisha ambacho kilivumbuliwa na mweusi.
Maana huu uzi naona watu wanalalamika namna hizo formula zilivyo ngumu, ina maana sisi hata kuzitumia bado ni kwa mbinde licha ya kwamba hatujahusika kwenye kuzigundua.
Waafrika tuamke, tubukue, tutumie bongo zetu ili na sisi tutajwe humo wanapotajwa wengine....hehehe
 
Kumradhi, hivi kwa hao waliovumbua wote kunaye Mweusi hata mmoja? Nani aliyeturoga, tuna nini hata kimoja cha kutumia ubongo na kufikirisha ambacho kilivumbuliwa na mweusi.
Maana huu uzi naona watu wanalalamika namna hizo formula zilivyo ngumu, ina maana sisi hata kuzitumia bado ni kwa mbinde licha ya kwamba hatujahusika kwenye kuzigundua.
Waafrika tuamke, tubukue, tutumie bongo zetu ili na sisi tutajwe humo wanapotajwa wengine....hehehe
Tumevumbua vumbi la congo
 
Kwenda na kasi ya dunia, unaonaje tukianza kufundisha hizo ready made programmed softwares & tools.

Mfano! Simu janja mtu anakuwa hana ufahamu lakini anajifunza hatua kwa hatua na kuweza kuhimili sio lazima afahamu metric, codes na system behind it.
Swala Zima la elimu na shule limekupita pembeni
 
Utakuwa ulikuwa hauelewi, hesabu ni moja ya starehe kubwa sana maishani baada ya kumeditate juu ya neno la Mungu wa Mbinguni.
Mimi hadi leo huwa nikichoshwa na mihangaiko ya Dunia huwa nachukua Kitabu cha Pure Mathematics (Back House au Tranter) napiga maswali matatu au manne hivi, then akili inakaa sawa.
 
Kumradhi, hivi kwa hao waliovumbua wote kunaye Mweusi hata mmoja? Nani aliyeturoga, tuna nini hata kimoja cha kutumia ubongo na kufikirisha ambacho kilivumbuliwa na mweusi.
Maana huu uzi naona watu wanalalamika namna hizo formula zilivyo ngumu, ina maana sisi hata kuzitumia bado ni kwa mbinde licha ya kwamba hatujahusika kwenye kuzigundua.
Waafrika tuamke, tubukue, tutumie bongo zetu ili na sisi tutajwe humo wanapotajwa wengine....hehehe
wasomi hawathaminiwi africa.
 
Ajitokeze mtu mmoja afafanue applications ya hizi eqns katika uhalisia
 
Nyutoni kanuni zake tunaishi nazo siku zote za maisha yetu hapa Duniani kwa kujua ama kutokujua.

Vizazi vyote vijavyo Duniani lazima waziishi kanuni zake.

Nyutoni sijui alikua anafikiri nini kichwani mwake.
Alikuwa ni Genius yule jamaa.
 
Back
Top Bottom