KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 4,603
- 4,209
Loh! Hiyo hesabu maumivu makali.Hii kweli kabisa,
Juzi nimeingia kwenye mtego, nimemkopesha mdada aise, Sijui atanilipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Loh! Hiyo hesabu maumivu makali.Hii kweli kabisa,
Juzi nimeingia kwenye mtego, nimemkopesha mdada aise, Sijui atanilipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena usijaribu kabisa kumkopesha kiumbe mwenye miguu miwili matiti mawili na mbususu katikati ya mapaja yake....utaishia kusaga menoAisee. Mdaiwa afungwi.
Katika maisha yako ya utafutaji epuka sana kumkopesha mtu pesa kwa lengo la kurudishiwa pesa yako ya awali.
Kumbuka kuwa pesa unayompa mtu kwa mkopo sio yako tena.
Aliwai kuniambia baba yangu"mtu akikuomba umkopeshe pesa mpe nusu ya pesa alio omba kama sadaka mbele ya Mungu, Ila usije weka matarajio yeyote kwa pesa uliomkopesha mtu.
Mfano
Rafiki akikuomba umkopeshe elfu Kumi...basi wewe kiroho Safi mpe elfu tano ili kumuwezesha katika jambo husika.
Sio ndugu
Sio rafiki
Wala nini.
Usikopeshe Ila wezesha.
Wapo wengi sana walirudishwa nyuma kwa kukopesha pesa kwa watu.
Asante
Hapo wee komaa ulipwe kwa kula mbususuHii kweli kabisa,
Juzi nimeingia kwenye mtego, nimemkopesha mdada aise, Sijui atanilipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah kuna mwana nimemkopesha million moja huu mwezi wa saba,yaani hana hata nia ya kunilipa…Ninabaki nahuzunika tu.Binadamu wabaya sana,alivyokuwa ananiomba hadi huruma ila sasa mimi ndo natia huruma na hela yangu mwenyewe
learning the hard wayDah kuna mwana nimemkopesha million moja huu mwezi wa saba,yaani hana hata nia ya kunilipa…Ninabaki nahuzunika tu.Binadamu wabaya sana,alivyokuwa ananiomba hadi huruma ila sasa mimi ndo natia huruma na hela yangu mwenyewe
Ndo inavyokuwaga mara zoteDah kuna mwana nimemkopesha million moja huu mwezi wa saba,yaani hana hata nia ya kunilipa…Ninabaki nahuzunika tu.Binadamu wabaya sana,alivyokuwa ananiomba hadi huruma ila sasa mimi ndo natia huruma na hela yangu mwenyewe
Chanzo cha kuvunja unduguAisee. Mdaiwa afungwi.
Katika maisha yako ya utafutaji epuka sana kumkopesha mtu pesa kwa lengo la kurudishiwa pesa yako ya awali.
Kumbuka kuwa pesa unayompa mtu kwa mkopo sio yako tena.
Aliwai kuniambia baba yangu"mtu akikuomba umkopeshe pesa mpe nusu ya pesa alio omba kama sadaka mbele ya Mungu, Ila usije weka matarajio yeyote kwa pesa uliomkopesha mtu.
Mfano
Rafiki akikuomba umkopeshe elfu Kumi...basi wewe kiroho Safi mpe elfu tano ili kumuwezesha katika jambo husika.
Sio ndugu
Sio rafiki
Wala nini.
Usikopeshe Ila wezesha.
Wapo wengi sana walirudishwa nyuma kwa kukopesha pesa kwa watu.
Asante
HahahDah kuna mwana nimemkopesha million moja huu mwezi wa saba,yaani hana hata nia ya kunilipa…Ninabaki nahuzunika tu.Binadamu wabaya sana,alivyokuwa ananiomba hadi huruma ila sasa mimi ndo natia huruma na hela yangu mwenyewe
Hatari....wanatia huruma hao wakati wanaomba mkopo. Ukishawapa sasa loh!Dah kuna mwana nimemkopesha million moja huu mwezi wa saba,yaani hana hata nia ya kunilipa…Ninabaki nahuzunika tu.Binadamu wabaya sana,alivyokuwa ananiomba hadi huruma ila sasa mimi ndo natia huruma na hela yangu mwenyewe
Hii kweli kabisa,
Juzi nimeingia kwenye mtego, nimemkopesha mdada aise, Sijui atanilipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe na ndio kanuni yangu.Aisee. Mdaiwa afungwi.
Katika maisha yako ya utafutaji epuka sana kumkopesha mtu pesa kwa lengo la kurudishiwa pesa yako ya awali.
Kumbuka kuwa pesa unayompa mtu kwa mkopo sio yako tena.
Aliwai kuniambia baba yangu"mtu akikuomba umkopeshe pesa mpe nusu ya pesa alio omba kama sadaka mbele ya Mungu, Ila usije weka matarajio yeyote kwa pesa uliomkopesha mtu.
Mfano
Rafiki akikuomba umkopeshe elfu Kumi...basi wewe kiroho Safi mpe elfu tano ili kumuwezesha katika jambo husika.
Sio ndugu
Sio rafiki
Wala nini.
Usikopeshe Ila wezesha.
Wapo wengi sana walirudishwa nyuma kwa kukopesha pesa kwa watu.
Asante
Hapo hasa,Kuna mtu nilimdhamini akapewa mkopo mahali,duuuu,mwisho wa siku ilibidi niingize mkono mfukoni nilipe baadhi ya ule mkopo.Si kumkopesha tu hata kumkopea (kumchukilia hela au kitu toka kwa mtu wa tatu) ni kosa la kiufundi. Na tena, usipende hata kumdhamini mtu deni adaiwalo. Utalala na viatu. Naeleza kwa uzoefu. Usithubutu.
UshapigwaSubiraga Joel nilipe pesa yangu(50K) ulinambia utalipa mwezi wa kwanza pesa yangu ila mpaka sasa ni mwezi wa tano huu
bora wewe ulijilipaHatari....wanatia huruma hao wakati wanaomba mkopo. Ukishawapa sasa loh!
Kuna demu nilimkopeshaga 5ok nakwambia hadi simu alikuwa hapokei.
Mwengine nilimkopa laki tatu niliambulia kula mbususu tuu
kwanza unatakiwa kushitakiwa unakopesha leseni unayo? Umeinyima serikali mapato tutakufatiliaHii kweli kabisa,
Juzi nimeingia kwenye mtego, nimemkopesha mdada aise, Sijui atanilipa.
Sent using Jamii Forums mobile app