Epuka sana kukopesha mtu pesa

Epuka sana kukopesha mtu pesa

Nilimkopesha mtu mil 3 mpaka leo mawasiliano hamna mwaka wa pili. Undugu umekufa kabisa
 
Aisee. Mdaiwa afungwi.
Katika maisha yako ya utafutaji epuka sana kumkopesha mtu pesa kwa lengo la kurudishiwa pesa yako ya awali.

Kumbuka kuwa pesa unayompa mtu kwa mkopo sio yako tena.

Aliwahi kuniambia baba yangu"mtu akikuomba umkopeshe pesa mpe nusu ya pesa alio omba kama sadaka mbele ya Mungu, Ila usije weka matarajio yeyote kwa pesa uliomkopesha mtu.

Mfano
Rafiki akikuomba umkopeshe elfu Kumi, basi wewe kiroho Safi mpe elfu tano ili kumuwezesha katika jambo husika.

Sio ndugu
Sio rafiki
Wala nini.

Usikopeshe Ila wezesha.

Wapo wengi sana walirudishwa nyuma kwa kukopesha pesa kwa watu.

Asante
Hii kitu nimefanya sana
 
Hu

Na maana kabisa😂rekebisha bhana ipo siku italeta shida
Shida gani? Afu unachat na To yeye hakuna atakaechukulia serious coz mi huwa nachat chochote na yeyote Sina mtu humu Mimi.Ila kama wife yupo humu😃Utaelewa SoMo😉
 
Nimempa mtu laki mbili mwak 2018 had leo cjapata hyo pesa na mm jus nimepwe laki mbili na mzee mmoja Kama kunikopesha ila mkp sas Sijampatia nawaza nipate 50 nirejeshe kwanza
 
Shida gani? Afu unachat na To yeye hakuna atakaechukulia serious coz mi huwa nachat chochote na yeyote Sina mtu humu Mimi.Ila kama wife yupo humu😃Utaelewa SoMo😉
Yupo ndg yangu usinifanyie hivi nafumwa mchana kweupee
 
Hatuwezi kuepuka kukopeshana kwa kuwa tunaishi kwenye jamii na kusaidiana ni moja ya mambo yaliyo mema kibinadamu....matendo machafu dhidi ya wanajamii wachache waliochagua dhuruma kwenye misaada haiwezi kufunga milango ya waja wema wenye uhitaji na waliosimama kwenye uafilifu......

Penye wengi pia Pana mengi....kikubwa ni kufanya mambo au ukarimu unaoendana na uwezo wetu.......

Jamii inasimama kwa sababu ya matendo ya watu wanaofanya wema pasi na kutarajia chochote kwa wema wao na jamii inaangamia kwa watu wabaya dhidi ya watu wema.....
 
Yupo ndg yangu usinifanyie hivi nafumwa mchana kweupee
Mwambie aje inbox nimweleze namna ya kuishi na viumbe nyie.Nataka nimwambie tunachoangalia wenzie ni "je anakumbuka kulea familia? Vingine tunamwachia mwanaume mwenyewe aamue juu ya maisha yake.
 
Mwambie aje inbox nimweleze namna ya kuishi na viumbe nyie.Nataka nimwambie tunachoangalia wenzie ni "je anakumbuka kulea familia? Vingine tunamwachia mwanaume mwenyewe aamue juu ya maisha yake.
Usituharibie mahaba ewe kiruka viunzi😂😂
 
Back
Top Bottom