mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 623
- 430
yaani hao makuwadi wa serikali hata mkiwaambiwa mambo ya maana wao wanaongea kishabiki tu! Biblia inawaita vipofu wenye macho na viziwi wenye masikio!mawaziri wasipoondolewa madaktari tutakosa imani kwa wizara ya afya, na serikali kwa ujumla kwani iliahidi kufanya hivo kupitia waziri mkuu. Mawaziri wakiondolewa tutapata imani kwa serikali na pia tutapata nafasi ya kujadiliana na serikali juu ya kuimprove sekta ya afya na hivyo kuondoa vifo visivyo vya lazima kwa wagonjwa wetu kutokana na ukosefu wa vifaa na dawa muhimu, hivi unajua ni watu wangapi wanakufa kwa siku kwenye hospitali kubwa kama muhi2 kwa kukosekana adrenaline tu?4 ur info watu wanakufa daily kwa kukoseekana dawa muhimu bila hata ya mgomo