Epuka kuoa Feminist

Epuka kuoa Feminist

Amos David Mathias

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2022
Posts
1,575
Reaction score
3,107
Ni chukizooooooooooooooo. No submission. No respect in the house.

Mwanamke anaongea kama cherehani hatulii hataki kugusa kazi yoyote ndani ya nyumba yeye ni kama mwanaume. Ananuna nuna tu nonsense bastard. Mvivu.

Wanaume kataeni ndoa Hawa wanawake wa sasa hivi hawaeleweki na hawajitambui pia.
 
Hakuna mwanaume katili
Mbele ya mwanamke mtiifu,

Ukiona ndivyo sivyo,
Ujue Kuna shida mahali

JamiiForums-172111383.jpg
 
Mwanamke wa hivyo Mimi wa kazi gani? Si Bora nibaki bachela kuliko kuwa na mwanamke Kama huyo.

Feminists wanakuwaga madikteta sio poa.
 
Nawashauri vijana bila kujali elimu zenu achaneni na hao waliosoma oweni wale wasiosoma sana,std 7,four au six,maisha ni salama zaidi mke akiwa hajasoma.

Maana akiwa amesoma ataanza habari za kutafuta kazi ili akafanye kazi aliyosomea na huko ataenda kukutana na walioleta u-feminist kwa waume zao wakaachwa so na yeye ataona sawa hata asipokuwa na ndoa madhali anapata mshahara wake basi inatosha,akiwa na elimu ya chini atakuwa na subira ya kufanya kazi ile utakayotaka kumpangia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom