Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,855
- 4,895
Duh! Hapa kwenye mayai sijui itakuwaje maana huwa nahifadhi kwenye friji.msiweke mayai fresh pia kwenye fridge.hasa mayai yasiyokuwa sealed. watu husahau mayai hutoka kwenye vinyeo vya kuku,na huwa hayaoshwi. kama vilivyo vinyeo vyote duniani, mayai pia huwa na masalia ya uchafu ya yalipotoka.mayai ili yasiharibike huwa hayaoshwi.
kufuatia hilo, msiwe mnashika mayai fresh na kula chakula.