Epuka kuhifadhi vitu hivi kwenye fridge

msiweke mayai fresh pia kwenye fridge.hasa mayai yasiyokuwa sealed. watu husahau mayai hutoka kwenye vinyeo vya kuku,na huwa hayaoshwi. kama vilivyo vinyeo vyote duniani, mayai pia huwa na masalia ya uchafu ya yalipotoka.mayai ili yasiharibike huwa hayaoshwi.

kufuatia hilo, msiwe mnashika mayai fresh na kula chakula.
Duh! Hapa kwenye mayai sijui itakuwaje maana huwa nahifadhi kwenye friji.
 
Acheni mbwembwe sasa jokofu litumike kwa kazi gani mbona kila kitu mnakipiga ban?
 
Kuishi Afrika tu ni shida tosha, hayo mambo ya friji tu msamiati
KWA JINSI UNAVYONIFURAHISHA, KWA KWELI NINGEKUNUNuLIA bicycle mpya kabisa ya PEUGEOT
Peugeot-logo-5.jpg
 
aya kaongea mtu km mtu na si mung..ntaeka km kawa toka nianze kuweka cjaona walag kutokea athar yyte
 
ha ha ha nshapata njia kumbe nlikua nakosea naweka bila kufunika, msimu ukifika nitanunua ndoo ndogo nayamenya naweka kwenye friji nafunika.....
kila dakika napitia kama panya vile
Mimi msimu wa nanasi nafurahi kinoma maana muda wote lipo kwenye fridge la baridiiiii
Uwiiiiiii napenda nanasi sana.

Ujue nilikuwa nafanyaje?
Nanunua kama ma3/4 yaani la kuliwa siku ya kwanza linakuwa bivu,la siku inayofuata limeiva kidogo,lingine bichi kidogo na lingine bichi kabisa.
So yanaiva kwa kupishana
Hahahahahaaaaa
Chezea utamu wa nanasi wewe?Mbinu hazikosekani.

Hata hivyo nanasi likizidisha siku 2 kwenye fridge ni majanga tu.
Nitaendelea na mbinu yangu ileile
 
Hapana mkuu,mimi mbona wa uswazi tu?
Nimefurahi tu kwa jinsi ulivyoandika comment yako ndio maana nimekupa like.
Nothing else
Good , kumbe u mwenzangu ki mazingira , lol
 
Mimi msimu wa nanasi nafurahi kinoma maana muda wote lipo kwenye fridge la baridiiiii
Uwiiiiiii napenda nanasi sana.

Ujue nilikuwa nafanyaje?
Nanunua kama ma3/4 yaani la kuliwa siku ya kwanza linakuwa bivu,la siku inayofuata limeiva kidogo,lingine bichi kidogo na lingine bichi kabisa.
So yanaiva kwa kupishana
Hahahahahaaaaa
Chezea utamu wa nanasi wewe?Mbinu hazikosekani.

Hata hivyo nanasi likizidisha siku 2 kwenye fridge ni majanga tu.
Nitaendelea na mbinu yangu ileile
hii nayo swafi nitafanya hivo pia, ila hata kulifunika linakaa zaidi ya siku mbili na utamu ule ule
napenda sana nanasi
 
Nyanya ukifadhi kwenye friji hakikisha umeme haukatiki au friji haizimwi maana friji ikikosa umeme tu nyanya zote zinaharibika, huwa zinateneza maji kwaiyo friji ikikosa tu ule ubaridi nyanya inatepeta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom