Kama unalitaka piga sim mkuuTeknolojia imesogea sana hilo jokofu linaonekana ni la 1990s mwishoni au 2000s mwanzoni kumuuzia mtu 850K ni uwongo.
Mimi ninayo Hisence model 2011 nililinunua 2013 nimeliweka mnada kwa fundi nataka 300K tu lakini wateja wanalitolea mbavuni wakiisikia hiyo offer hata kupatana hawataki na lipo vizuri sana kimuonekano.
Ushauri:rekebisha hiyo bei.
Naomba nilipie 300000.1 to 2kWh in 24 hours
Kwa hiyo ukaona ukiandika kutoka Marekani ndio tutashoboka enhKwa yeyote mwenye kuhitaji Fridge yenye nafasi kubwa ya kuweka vitu na uwezo mkubwa wa kuhifadhi vitu kwa matumizi nafuu ya umeme basi anitafute kupitia namba hii
0673 17 5000
Bei yake ni Tsh 850,000
Napatikana Kigamboni
Dar es Salaam
View attachment 2835765View attachment 2835766View attachment 2835767