Kwenye kujitafuta epuka vitu hivi

Mosalah_

JF-Expert Member
Jul 10, 2018
314
720
Hello watafutaji wa Jf,

Dua na sala nyingi sana kwenye mapambano ya kutafuta kazi/ajira nakubali sana brothers and sisters mna push vya kutosha.

1. Unapojitafuta epuka kuwa na tamaa ya pesa ndugu yangu, kwa sababu pesa zitakuja pale watakapo ona thamani ya kazi yako, bora ufanye kazi bure upate ujuzi utakulipa mbeleni na pia ebuka na madili ya ovyo ovyo.

2. Epuka kutumika vibaya, Mfano we ni accountant umeomba internship sehemu wamekuita then unaenda kupiga kazi, we kutwa nzima unatumwa dukani, mwisho wa siku hukui na hawaoni thamani yako umeisha.

3. Epuka ujuaji unapo pewa nafasi, usikamie mchongo kama umepata sehemu kubali kuwa chini wakubwa wakupe madini upate kufanikiwa kwenye field yako, ukileta ujuaji sana uliowakuta watajua kabisa jamaa uwenda anataka kuchukua nafasi yetu ,so hawatakupa ushirikiano na pia hauta dumu.

4. Acha dharau, acha dharau ndugu mtafutaji mwenzangu umepata nafasi basi itumie sio unaanza kulinganisha sehemu uliyopo na taasisi kubwa kama TRA, TPA, TBS. Kama kampuni ni ndogo imekupa nafasi kuwa chachu ya mafanikio ya hiyo kampuni acha majungu ndugu.

5. Usipende ku push kuhusu mkataba kila saa kama kampuni au taasisi itaona inafaidika na wewe itakupa tu, sio kila ukimuona HR, BOSS mada yako ni ile ile mkataba inaboa sana.

Siku si chache nimekataa kutumika vibaya na moja ya construction company, based on mechanical engineering projects ya wahindi, wahindi mungu anawaona hawa majamaa ukija ofisini wanakupa kazi yoyote ile, mostly ni zile ambazo hazikuongezei kitu kwenye cv yako, ila wahindi wenzao wana watreat vizuri kweli.

Ndugu waajiri mtuamini, mtupe fursa tutazitumia vizur JF isiwe kigezo cha kuto tuamini kama kuna mchongo wa mechanical engineer njoo PM tajiri.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye kutumika vibaya mwenye masikio na asikie...usikubali muajiri akufanyishe kazi ambayo hai allign na professional yako labda iwe dharura imetokea sio siku zote. Wewe ni mhasibu upo kwenye manufacturing industry eti unatakiwa ukagrade na kupaki mchele...kweli? Sasa kwenye cv yako kugrade mchele kunakusaidia nini? Be strong and know your value mwajiri asikutumie vibaya hata kama una shida na kazi
 
Kwenye kutumika vibaya mwenye masikio na asikie...usikubali muajiri akufanyishe kazi ambayo hai allign na professional yako labda iwe dharura imetokea sio siku zote. Wewe ni mhasibu upo kwenye manufacturing industry eti unatakiwa ukagrade na kupaki mchele...kweli? Sasa kwenye cv yako kugrade mchele kunakusaidia nini? Be strong and know your value mwajiri asikutumie vibaya hata kama una shida na kazi
kwenye kipengele hiki huwa naachaga kaz kabisa na kulala tu hom
 
kwenye kipengele hiki huwa naachaga kaz kabisa na kulala tu hom
safi sana bora ujue huna kazi kuliko kupoteza muda kwenye kazi ambazo haziwezi kukusaidia kwenye career yako mbeleni.Mimi misimano yangu ndo huwa inanisaidiaga popote ninapofanya kazi KAMWE sikubali kuendeshwa! basi wananiona jeuri huku nawachora tu staffs wenzangu wasiojitambua
 
Kwenye kutumika vibaya mwenye masikio na asikie...usikubali muajiri akufanyishe kazi ambayo hai allign na professional yako labda iwe dharura imetokea sio siku zote. Wewe ni mhasibu upo kwenye manufacturing industry eti unatakiwa ukagrade na kupaki mchele...kweli? Sasa kwenye cv yako kugrade mchele kunakusaidia nini? Be strong and know your value mwajiri asikutumie vibaya hata kama una shida na kazi
Kuna afisa wa serikali alitaka anifanyie upuuz ni Dseo yaani namchukia usipime na mungu atanisamehe
 
Kwenye kutumika vibaya mwenye masikio na asikie...usikubali muajiri akufanyishe kazi ambayo hai allign na professional yako labda iwe dharura imetokea sio siku zote. Wewe ni mhasibu upo kwenye manufacturing industry eti unatakiwa ukagrade na kupaki mchele...kweli? Sasa kwenye cv yako kugrade mchele kunakusaidia nini? Be strong and know your value mwajiri asikutumie vibaya hata kama una shida na kazi
Wewe ujielewi sasa ulivyoambiwa kwenye mkataba kwamba utafanya kazi zote pamoja majukumu utayopangiwa na boss wako ulitegemea nini.
 
Kwenye kutumika vibaya mwenye masikio na asikie...usikubali muajiri akufanyishe kazi ambayo hai allign na professional yako labda iwe dharura imetokea sio siku zote. Wewe ni mhasibu upo kwenye manufacturing industry eti unatakiwa ukagrade na kupaki mchele...kweli? Sasa kwenye cv yako kugrade mchele kunakusaidia nini? Be strong and know your value mwajiri asikutumie vibaya hata kama una shida na kazi
Seriously ?!!!!!

Unafanya kazi kwa huyo muajiri wako ili ufanye / upate nini ? Kipato ? Career Advancement au Ujiko kwamba wewe ni Afisa ? Ofcourse Heshima ni kitu muhimu wala bullying haitakiwi hata kama wewe ni Janitor unapiga deki watu wanakanyaga na tope huo sio utu na ni bullying......

Kwamba katika grading mchele na kupack kunapunguza ujuzi wako wa ku-Balance the Sheet ? Unajua katika being employable kuna advantage ya being multi task na sio mbishi na kufanya kazi kwa kujichanganya na watu ? Sasa huoni kwamba kwenye grading ya mchele utagundua hata wizi huenda watu wanachanganya grades na kucheza na mizani;

In today's automated world with AI the Jack's of All Trades ni mpango mzima kina one dimensional au one trick ponies are about to be distinct
 
Back
Top Bottom