nchonga aliyebaki
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 588
- 1,050
Kuna movie moja imechezwa ya kisiasa,
Picha kali linaanza lubuva analitafsri lukoma amambaijo,
Actors
1.J P M main character
2. S S actress
3. K M actor
4.J N actor
5. Na Baraza la mawaziri
Uwanja wa mapambano ni J M T
Mapambano yanaanza mkuu anatoroka kwenye jumba jeupe anachungulia kulia na kushoto anaona hakuna anayemuona , anachukua mfagio anaibukia pale wanapovua samaki , anapiga nao story kidogo, Mara gafla wanakuja wale wasiojulikana ambao hawatajulikana kamwe kwa code zao, wanamwambia mkuu hapa si salama maliza usafi twende,
Usiku Yule alocheza episode ya 4 anapenda sana kukuna kichwani anampigia simu na kumueleza kwamba inakuwaje mzazi nakutimbia soon , main character anasema kesho nitakuwa na ziara ya kuwashtukiza pale wanaposhusha ma container niwakague,
Hayaaa sasaaa asubuhi zengwe kingine linaanza laziwa wakaguliwe wote walioficha sukari uku kukiwa na tishio la kubadili hela maana watu wameficha ndani
Uku zenjiberi kuna mmoja wa wana kungfuu ye yupo kwenye ndege anaomba kijiji Fulani wamsaidie kukalia kiota chake,
Uku upande wa pili actor nauye anaanza kuzingua anasema hatuonesha live bunge kabla hajamaliza ilo anajitokeza jamaa mmoja hivi wamepewa mamlaka ya kuongoza jiji kubwa, wanaanza kuzingua, wanaanza kuliana timing Kati ya nape na yeye, baadae inagundulika ugomvi ni kwa aliyerekodi huu mkanda, ikabid atengenezewe zengwe
Nape missing in action kanda inaganda kidogo,
Huku mpela mpela nikiendelea watu wanaanza kujiuliza kuwa kuna nini mbona hatuelewi, main actor akasema sipangiwi cha kusema
Mara kuna mtu anaforwad mkanda tunaona AKASYA wamekuja kutarihi wanalala pale hotel nzuri na wakimaliza wanalipa hela ya hoteli alafu watu wameshangilia kuwa ni malipo ya mchanga mweupe,
Movie linaendelea picha tamu sana reprofeseri anaamua kumwaga manyanga movei inaganda kidogo Muhongo missing in action
Movie tamu sana aisee sasa upande wa pili wa nyumba ya jirani kuna mtu kaenda buguruni kuchukua document ofisi ya KAFU anafika mlangoni anateleza anaanguka, kumbe kuna anayelala pale analinda meza ili nshindani wake asizichukue ila kasukutulia pale
Mara gafla dah kucheki kwa pembeni naona vijana wanaendelea kuwachora,
Wakati hayo yanaendelea Mara tunasikia kuna uvamizi wa mmoja wa wawakilishi uko Kati kati ya mji,
Wakati hayo yanaendelea main actor anamwambia mwekezaji
Sizitaki pesa zako zinanuka
Simbachawene missing in action
Itaendelea.........
Picha kali linaanza lubuva analitafsri lukoma amambaijo,
Actors
1.J P M main character
2. S S actress
3. K M actor
4.J N actor
5. Na Baraza la mawaziri
Uwanja wa mapambano ni J M T
Mapambano yanaanza mkuu anatoroka kwenye jumba jeupe anachungulia kulia na kushoto anaona hakuna anayemuona , anachukua mfagio anaibukia pale wanapovua samaki , anapiga nao story kidogo, Mara gafla wanakuja wale wasiojulikana ambao hawatajulikana kamwe kwa code zao, wanamwambia mkuu hapa si salama maliza usafi twende,
Usiku Yule alocheza episode ya 4 anapenda sana kukuna kichwani anampigia simu na kumueleza kwamba inakuwaje mzazi nakutimbia soon , main character anasema kesho nitakuwa na ziara ya kuwashtukiza pale wanaposhusha ma container niwakague,
Hayaaa sasaaa asubuhi zengwe kingine linaanza laziwa wakaguliwe wote walioficha sukari uku kukiwa na tishio la kubadili hela maana watu wameficha ndani
Uku zenjiberi kuna mmoja wa wana kungfuu ye yupo kwenye ndege anaomba kijiji Fulani wamsaidie kukalia kiota chake,
Uku upande wa pili actor nauye anaanza kuzingua anasema hatuonesha live bunge kabla hajamaliza ilo anajitokeza jamaa mmoja hivi wamepewa mamlaka ya kuongoza jiji kubwa, wanaanza kuzingua, wanaanza kuliana timing Kati ya nape na yeye, baadae inagundulika ugomvi ni kwa aliyerekodi huu mkanda, ikabid atengenezewe zengwe
Nape missing in action kanda inaganda kidogo,
Huku mpela mpela nikiendelea watu wanaanza kujiuliza kuwa kuna nini mbona hatuelewi, main actor akasema sipangiwi cha kusema
Mara kuna mtu anaforwad mkanda tunaona AKASYA wamekuja kutarihi wanalala pale hotel nzuri na wakimaliza wanalipa hela ya hoteli alafu watu wameshangilia kuwa ni malipo ya mchanga mweupe,
Movie linaendelea picha tamu sana reprofeseri anaamua kumwaga manyanga movei inaganda kidogo Muhongo missing in action
Movie tamu sana aisee sasa upande wa pili wa nyumba ya jirani kuna mtu kaenda buguruni kuchukua document ofisi ya KAFU anafika mlangoni anateleza anaanguka, kumbe kuna anayelala pale analinda meza ili nshindani wake asizichukue ila kasukutulia pale
Mara gafla dah kucheki kwa pembeni naona vijana wanaendelea kuwachora,
Wakati hayo yanaendelea Mara tunasikia kuna uvamizi wa mmoja wa wawakilishi uko Kati kati ya mji,
Wakati hayo yanaendelea main actor anamwambia mwekezaji
Sizitaki pesa zako zinanuka
Simbachawene missing in action
Itaendelea.........