Umenena Kaka. Nakugongea Thanks sasa hivi. hivi anaaendelea kuleta threads za Kibonde hapa ni nani, Mods stop this pleezMimi mnanikera mnapo mpa facelift hapa JF....Mwishowe kutakua na Kibonde Forum...kila siku kibonde kibonde...aaargh
umenena kaka. Nakugongea thanks sasa hivi. Hivi anaaendelea kuleta threads za kibonde hapa ni nani, mods stop this pleez
Kibonde ni zumbukuku, ila nafikiri anataka kujijegea mazingira fulani ndani ya ccm, utashangaa iko siku anateuliwa viti maaluum kwa ajili ya kujipendekeza kwake, achana nae hana umuhimu wwowoteHivi nauliza jamani hiyo Clouds FM ni redio ya CCM? Halafu huyu kilaza Kibonde anapata wapi ubavu wa kuongea issues zinazogusa jamii hovyo hovyo namna hii, amenikera sana. Eti obvious Anna Makinda atashinda Uspika na hizo analysis zake mbuzi!!
Sijui nimpe adhabu gani huyu?
:sad::spider:
Kwa bahati mbaya sana na mimi nilisikiliza Clouds jioni, na hii ni kutokana na kulazimishwa na jamaa nililiyekuwa naye kwenye gari na nikaona si mbaya ngoja nimpe anachotaka. Ule upuuzi alioongea Kibonde, kama ningekuwa mimi ndo Joseph Kusaga basi leo jamaa angekuwa anapewa onyo kali na kupelekwa training ya utangazaji na uandishi wa habari.
Jamaa alikuwa anajifanya anatoa uchambuzi wa kisiasa hasa masuala ya bunge huku yeye mwenyewe akikiri kuwa hajui mambo yafuatayo;
1. Bunge la sasa linatarajiwa kuwa na wabunge wangapi
2. Idadi ya viti maalumu vya CCM na vile vya upinzani
3. Taratibu zinazofuatwa katika kuchagua spika
4. Mchakato uliofuatwa na CCM mpaka kufikia kumpitisha Anna Makinda
5. Vigezo vilivyotumika na CCM kumuengua spika Sitta, huku Kibonde akimdhihaki kama ni mtu aliyekuwa mzigo kwa chama chake
Sasa najiuliza kama alikuwa anajua kwamba anakuja kuchambua masuala ya bunge na uchaguzi wa spika, kwa nini hakujiandaa na kuwa na relevant information?
Nilishikwa na butwaa pale ambapo bogus mwingine Gadner G Habash aliposema kwamba Jaji Mkuu wa Tanzania ni mwanamke!! Na aliendelea kusisitiza hivyo mpaka msikilizaji mmoja alipomtumia sms na kumwambia kuwa Jaji mkuu ni mwanaume.
I was totally pissed off!! Nikajiuliza hivi Kibonde anaweza nini? Kuchambua michezi pia hajui, namshauri atafute training zitakazo msaidia kuondoa ujinga alionao.
Labda tatizo linaweza kuwa Kibonde hajui kama hajui!!
Fanyeni media boycott na msikilize redio nyingine ila kwa bongo sijui mtasikiliza redio gani isokuwa na ushabiki wa kijinga kwa mafisadi.Mwehu akikunyang'anya nguo, chuchumaa wala usimkimbize usijeonekana we ndo mwehu.
kazi ya dukanihuyo gadna arudie kazi ya kuuza duka tu!
Hongera kwa kukerwa na mteja wa ARVs pale Tumaini Hospitali
Hongera kwa kukerwa na mteja wa ARVs pale Tumaini Hospitali
Gadna alikuwa anaishi Moshi kama Bar Maid then akapelekwa Mwanza na muhindi kuuza duka la CDs then akakutana na Mama Tanrose aliekuwa na Tanrose video library pale mbele ya shopaz akiwa kama mpenzi wake na business planner wake then akajishaua cloudz wakampa kazi akakutana na Lady JD amabe alikuwa ni demu wa Ruge jamaa akaoa kutokana na njaa zake akamtema mkewe...kutwaaaa utangaza matangazo ye mkewe kwa ruhusa ya mme mwenza Ruge...aibu sana G Habash kuwa maskini jeuri wewe...