Ephata Nanyaro ajitosa kugombea uenyekiti BAVICHA Taifa

Ephata Nanyaro ajitosa kugombea uenyekiti BAVICHA Taifa

nanyaro hana weledi wa kuwa kiongozi tangu alipompiga mgambo wa jiji akitekeleza majukumu yake.hafai kabisa afukuzwe kwenye chama

Nimefuatilia comments zako kwenye threads mbali mbali, ninapata impressions fulani....... I'm sorry mkuu manake zina ukweli!
 
Nimefuatilia comments zako kwenye threads mbali mbali, ninapata impressions fulani....... I'm sorry mkuu manake zina ukweli!

asante mkuu kwa kuliona hilo na kuweka itikadi zetu pembeni,ni kweli nanyaro ana kesi mahakamani ya kumpiga mgambo wa kike pale arusha mjini
 
asante mkuu kwa kuliona hilo na kuweka itikadi zetu pembeni,ni kweli nanyaro ana kesi mahakamani ya kumpiga mgambo wa kike pale arusha mjini

Unateswa na jambo ambalo bahati mbaya sana litaendelea kukutesa. tabaka katika jamii iliyostaarabika ni hatari sana.

Badilika
 
Wakuu, aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya ARUSHA amedhamiria kuingia kwa miguu miwili ktk kinyang'anyiro cha kugombea nafasi hii mnamo tarehe 10/09/2014.

Hongera kamanda , naamini utamudu hiyo position ukichaguliwa
 
Nasikia Nanyaro alienda kumwokoa wamama waliokuwa wanapigwa na Mgambo.Hivyo alipigana kwa ajili ya watu wake
What a leader!!!!!!!!
 
Heri mwanadamu huyo mwenye fikra za kibaguzi kuliko taasisi (CDM) yenye fikra za kibaguzi.

Kama unampongeza mwanadamu mwenye fikra za kibaguzi ILHALI unailaumu TAASISI "yenye" fikra za kibaguzi ni wazi hujui TAASISI huundwa na nini!?
 
Pigo kubwa kwa Nanyaro kesi inayomkabili itasomwa Septemba 10 siku ambayo ni ya uchaguzi bavicha.
Nanyaro atajutia maamuzi yake ya kupiga mgambo,kuna habari pia huyo mgambo anaumwa hadi leo
 
Back
Top Bottom