Ephata Nanyaro ajitosa kugombea uenyekiti BAVICHA Taifa

Ephata Nanyaro ajitosa kugombea uenyekiti BAVICHA Taifa

Ana haki ya kugombea na haki ya kuchaguliwa vile vile, ni mpambanaji, tukianzia kwenye sakata la madiwani wa Arusha waliohongwa, ni yeye peke yake alisimama kama kidole bila kutikiswa na mamilioni ya ccm. Amepigwa sana na migambo ya jiji kwa kuwatetea wanyonge, ameonyesha uwezo wake. He is a hard working, multi talented and committed boy....

Chadema ina vipaji lukuki, tutataka kuona makamanda wengi wanajitokeza kushindania nafasi hizi muhimu kwa chama na taifa, nitakuwa na amani Ben Saanane akiingia kwenye system, jamaa ni very creative, proactive na kwakweli Anaweza kuisaidia chama kujenga na kupanga mikakati ya ushindi. Tukumbuke kama siyo Ben Saanane pengine masalia wangeendelea kututesa hadi leo. Ben ndiye aliyesanua mbinu ovu ya PM7, kikundi cha wasaliti chini ya msaliti mkuu prezoo......
 
ana haki ya kugombea na haki ya kuchaguliwa vile vile, ni mpambanaji, tukianzia kwenye sakata la madiwani wa arusha waliohongwa, ni yeye peke yake alisimama kama kidole bila kutikiswa na mamilioni ya ccm. Amepigwa sana na migambo ya jiji kwa kuwatetea wanyonge, ameonyesha uwezo wake. He is a hard working, multi talented and committed boy....

Chadema ina vipaji lukuki, tutataka kuona makamanda wengi wanajitokeza kushindania nafasi hizi muhimu kwa chama na taifa, nitakuwa na amani ben saanane akiingia kwenye system, jamaa ni very creative, proactive na kwakweli anaweza kuisaidia chama kujenga na kupanga mikakati ya ushindi. Tukumbuke kama siyo ben saanane pengine masalia wangeendelea kututesa hadi leo. Ben ndiye aliyesanua mbinu ovu ya pm7, kikundi cha wasaliti chini ya msaliti mkuu prezoo......

umeandika ukweli sana .
 
Bandugu,
nimefarijika kusikia Nanyaro anapendekezwa kugombea uenyekiti bavicha. nijuavyo kwa sasa hakuna kijana mwenye profile iliyoshiba kwa vijana kama nanyaro. bila kutaka kumpamba,amekuwa katika kitovu cha mapambano.hakuna joto lililoikumba chadema asilionje. mungi kataja machache.
bavicha chini ya heche haikuwa na programu zozote bunifu zaidi ya matamko yaliyojaa misuli yakirudia wanachosema wakuu wa chama.kifupi bavicha imedumaa. on the other hand, programu alizobuni nanyaro na vijana wa arusha zimekuwa na impact kubwa kwa chama. kuna wasiojua kuwa M4C ni zao la kina nanyaro. au ile ya kupanda mlima kilimanjaro.
naelewa ushabiki kwa ben saanane.lakini labda mungi na wengi hawajui kuwa ni nanyaro aliyemfichua ben saanane kwenye usaliti wake kabla hajatofautiana na masalia wenzie. hatujui sawasawa kilichomfanya ben kupiga abov turn.msije kumlea gorbachev.
uhai wa chadema arusha una jasho na akili ya nanyaro. huyu ataipa bavicha hadhi kubwa.namuunga mkono.
 
Hongera kwa kutangaza nia na ujue unaenda kushindana na ukishindwa kuwa muungwana waunge mkono watakaochaguliwa na kuijenga Chadema

Nanyaro namfahamu sana yule ni Mwanachama Mzalendo wa CHADEMA hana uroho wa madaraka na wala hana character za umamluki na usaliti... Hawezi akashindwa akaanzisha PM7.
 
Ana haki ya kugombea na haki ya kuchaguliwa vile vile, ni mpambanaji, tukianzia kwenye sakata la madiwani wa Arusha waliohongwa, ni yeye peke yake alisimama kama kidole bila kutikiswa na mamilioni ya ccm. Amepigwa sana na migambo ya jiji kwa kuwatetea wanyonge, ameonyesha uwezo wake. He is a hard working, multi talented and committed boy....

Chadema ina vipaji lukuki, tutataka kuona makamanda wengi wanajitokeza kushindania nafasi hizi muhimu kwa chama na taifa, nitakuwa na amani Ben Saanane akiingia kwenye system, jamaa ni very creative, proactive na kwakweli Anaweza kuisaidia chama kujenga na kupanga mikakati ya ushindi. Tukumbuke kama siyo Ben Saanane pengine masalia wangeendelea kututesa hadi leo. Ben ndiye aliyesanua mbinu ovu ya PM7, kikundi cha wasaliti chini ya msaliti mkuu prezoo......

Siyo alipoona PM7 hailipi akajisanua kwakuwageuka wenzake?
 
Bandugu,
nimefarijika kusikia Nanyaro anapendekezwa kugombea uenyekiti bavicha. nijuavyo kwa sasa hakuna kijana mwenye profile iliyoshiba kwa vijana kama nanyaro. bila kutaka kumpamba,amekuwa katika kitovu cha mapambano.hakuna joto lililoikumba chadema asilionje. mungi kataja machache.
bavicha chini ya heche haikuwa na programu zozote bunifu zaidi ya matamko yaliyojaa misuli yakirudia wanachosema wakuu wa chama.kifupi bavicha imedumaa. on the other hand, programu alizobuni nanyaro na vijana wa arusha zimekuwa na impact kubwa kwa chama. kuna wasiojua kuwa M4C ni zao la kina nanyaro. au ile ya kupanda mlima kilimanjaro.
naelewa ushabiki kwa ben saanane.lakini labda mungi na wengi hawajui kuwa ni nanyaro aliyemfichua ben saanane kwenye usaliti wake kabla hajatofautiana na masalia wenzie. hatujui sawasawa kilichomfanya ben kupiga abov turn.msije kumlea gorbachev.
uhai wa chadema arusha una jasho na akili ya nanyaro. huyu ataipa bavicha hadhi kubwa.namuunga mkono.

Ondoa unafiki wako hapa!

Wewe mkuu wa Usalama wa ACT mambo ya Chadema yanakuhusu nini?
 
Ana haki ya kugombea na haki ya kuchaguliwa vile vile, ni mpambanaji, tukianzia kwenye sakata la madiwani wa Arusha waliohongwa, ni yeye peke yake alisimama kama kidole bila kutikiswa na mamilioni ya ccm. Amepigwa sana na migambo ya jiji kwa kuwatetea wanyonge, ameonyesha uwezo wake. He is a hard working, multi talented and committed boy....

Chadema ina vipaji lukuki, tutataka kuona makamanda wengi wanajitokeza kushindania nafasi hizi muhimu kwa chama na taifa, nitakuwa na amani Ben Saanane akiingia kwenye system, jamaa ni very creative, proactive na kwakweli Anaweza kuisaidia chama kujenga na kupanga mikakati ya ushindi. Tukumbuke kama siyo Ben Saanane pengine masalia wangeendelea kututesa hadi leo. Ben ndiye aliyesanua mbinu ovu ya PM7, kikundi cha wasaliti chini ya msaliti mkuu prezoo......

Mkuu Mungi

Umeandika mambo mazito sana.Ninakuunga mkono 100%

Msimamo wangu vijana wengi zaidi na zaidi wajitokeze ili kuwafundisha maaadui zetu demokrasia.

Kiukweli vipaji ndani ya Chadema ni vingi na hakika kina Ephata Nanyaro na Ben Saanane ni mfano wa kuigwa!
 
Last edited by a moderator:
Ondoa unafiki wako hapa!

Wewe mkuu wa Usalama wa ACT mambo ya Chadema yanakuhusu nini?

Bora umempa za uso. Apeleke unafki wake CCM na ACT, ya CHADEMA atuachie wenyewe.
 
Bandugu,
nimefarijika kusikia Nanyaro anapendekezwa kugombea uenyekiti bavicha. nijuavyo kwa sasa hakuna kijana mwenye profile iliyoshiba kwa vijana kama nanyaro. bila kutaka kumpamba,amekuwa katika kitovu cha mapambano.hakuna joto lililoikumba chadema asilionje. mungi kataja machache.
bavicha chini ya heche haikuwa na programu zozote bunifu zaidi ya matamko yaliyojaa misuli yakirudia wanachosema wakuu wa chama.kifupi bavicha imedumaa. on the other hand, programu alizobuni nanyaro na vijana wa arusha zimekuwa na impact kubwa kwa chama. kuna wasiojua kuwa M4C ni zao la kina nanyaro. au ile ya kupanda mlima kilimanjaro.
naelewa ushabiki kwa ben saanane.lakini labda mungi na wengi hawajui kuwa ni nanyaro aliyemfichua ben saanane kwenye usaliti wake kabla hajatofautiana na masalia wenzie. hatujui sawasawa kilichomfanya ben kupiga abov turn.msije kumlea gorbachev.
uhai wa chadema arusha una jasho na akili ya nanyaro. huyu ataipa bavicha hadhi kubwa.namuunga mkono.

mkuu ni wewe? Au umeazima mtu ID yako
 
chama cha wanaume? kweli cdm ni mbumbumbu,kalenga na chalinze mngeonyesha uanaume wenu.nanyaro ana kesi mahakamani ya kupiga na kujeruhi mgambo

Tangu lini kesi iliyoko mahakamani ikamnyima mtu haki nyinginezo?
Soma katiba yenu ya mwaka 1977 ujue zaidi
 
nikuulize swali dogo mkuu,hivi askari polisi mfano anakusimamisha barabarani na kufanya ukaguzi wako wa gari na kubaini makosa halafu anakuandikia faini unakataa kulipa na kutokutii sheria ni jambo zuri.au kitendo cha nanyaro kumpiga askari mgambo wa jiji kama kiongozi tunajenga picha gani kwa wananchi tunaowaongoza

Kwamba kuweni mpole ila usikubali mtu akutie vidole kwenye jicho!
 
Sitetei hata kidogo tabia ya kupiga askari. Ila nilikuwa naongelea tabia ya askari wetu na hasa hao mgambo. Vyovyote iwavyo kitendo cha kupiga askari iwe kwa sababu yoyoye siyo kizuri wala siyo cha kukaliwa kimya. Ila na hawa askari wetu wawe na utu na heshima katika kutekeleza majukumu yao.

Kupiga askari yeyote kunauma kama askari anavyompiga raia yeyote!
Zingatieni hilo!
 
Tangu lini kesi iliyoko mahakamani ikamnyima mtu haki nyinginezo?
Soma katiba yenu ya mwaka 1977 ujue zaidi

nawe unamshabikia mhalifu nanyaro kwa kumpiga mgambo wa kike katika majukumu aliyopewa na serikali kuwahamisha.ephata nanyaro akiwa mwenyekiti wa bavicha taifa itakuwa ni tusi kwa wananchi
 
Kwa ufupi nafasi za juu lazima ziende kaskazini.

Mkuu Mungi

Umeandika mambo mazito sana.Ninakuunga mkono 100%

Msimamo wangu vijana wengi zaidi na zaidi wajitokeze ili kuwafundisha maaadui zetu demokrasia.

Kiukweli vipaji ndani ya Chadema ni vingi na hakika kina Ephata Nanyaro na Ben Saanane ni mfano wa kuigwa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom