Ephata Nanyaro ajitosa kugombea uenyekiti BAVICHA Taifa

Ephata Nanyaro ajitosa kugombea uenyekiti BAVICHA Taifa

nanyaro hana weledi wa kuwa kiongozi tangu alipompiga mgambo wa jiji akitekeleza majukumu yake.hafai kabisa afukuzwe kwenye chama
 
ukizoea vya mteremko shida tupu. Naona umeamua kukisemea chama cha wanaume cdm. Karibu sana nyumbani

chama cha wanaume? kweli cdm ni mbumbumbu,kalenga na chalinze mngeonyesha uanaume wenu.nanyaro ana kesi mahakamani ya kupiga na kujeruhi mgambo
 
chama cha wanaume? kweli cdm ni mbumbumbu,kalenga na chalinze mngeonyesha uanaume wenu.nanyaro ana kesi mahakamani ya kupiga na kujeruhi mgambo

Nayo utaita kesi hyo acha uoga rudi kundini usione aibu na utakua na uwezo wakujinunulia mwenyewe bia na choma.
 
nanyaro hana weledi wa kuwa kiongozi tangu alipompiga mgambo wa jiji akitekeleza majukumu yake.hafai kabisa afukuzwe kwenye chama

Labda ni kweli. lakini kwenye kumbukumbu zangu ni kuwa mgambo pia wanakuwa hawana adabu katika utekelezaji wa majukumu yao.
Kimsingi unaweza kuwa uko kazini lakini haimaanishi ufanye kazi kwa kunyanyasa wananchi na kutumia lugha mbovu. Wakati mwingine hiyo inaweza kuwa sababu ya kushawishi watu kutotii.
 
Labda ni kweli. lakini kwenye kumbukumbu zangu ni kuwa mgambo pia wanakuwa hawana adabu katika utekelezaji wa majukumu yao.
Kimsingi unaweza kuwa uko kazini lakini haimaanishi ufanye kazi kwa kunyanyasa wananchi na kutumia lugha mbovu. Wakati mwingine hiyo inaweza kuwa sababu ya kushawishi watu kutotii.

nikuulize swali dogo mkuu,hivi askari polisi mfano anakusimamisha barabarani na kufanya ukaguzi wako wa gari na kubaini makosa halafu anakuandikia faini unakataa kulipa na kutokutii sheria ni jambo zuri.au kitendo cha nanyaro kumpiga askari mgambo wa jiji kama kiongozi tunajenga picha gani kwa wananchi tunaowaongoza
 
CHADEMA kinaenda kupata viongozi shupavu.
Sina Shaka na Ephata hata tone,he is great soldier!
 
nikuulize swali dogo mkuu,hivi askari polisi mfano anakusimamisha barabarani na kufanya ukaguzi wako wa gari na kubaini makosa halafu anakuandikia faini unakataa kulipa na kutokutii sheria ni jambo zuri.au kitendo cha nanyaro kumpiga askari mgambo wa jiji kama kiongozi tunajenga picha gani kwa wananchi tunaowaongoza

Kwa kuwa ametokea kwa Chaga people lazima nafasi yake apewe
 
nikuulize swali dogo mkuu,hivi askari polisi mfano anakusimamisha barabarani na kufanya ukaguzi wako wa gari na kubaini makosa halafu anakuandikia faini unakataa kulipa na kutokutii sheria ni jambo zuri.au kitendo cha nanyaro kumpiga askari mgambo wa jiji kama kiongozi tunajenga picha gani kwa wananchi tunaowaongoza

Sitetei hata kidogo tabia ya kupiga askari. Ila nilikuwa naongelea tabia ya askari wetu na hasa hao mgambo. Vyovyote iwavyo kitendo cha kupiga askari iwe kwa sababu yoyoye siyo kizuri wala siyo cha kukaliwa kimya. Ila na hawa askari wetu wawe na utu na heshima katika kutekeleza majukumu yao.
 
Kwa kuwa ametokea kwa Chaga people lazima nafasi yake apewe

wewe ni pimbi kweli nikuambie jambo hakuna kitu nakichukia kama suala la ukabila kwanza nanyaro ni mmeru na sio mchaga.acha unyangau.tatu nachoongelea hapa nanyaro hafai kuwa kiongozi kwa kitendo cha kupiga na kujeruhi askari mgambo
 
nikuulize swali dogo mkuu,hivi askari polisi mfano anakusimamisha barabarani na kufanya ukaguzi wako wa gari na kubaini makosa halafu anakuandikia faini unakataa kulipa na kutokutii sheria ni jambo zuri.au kitendo cha nanyaro kumpiga askari mgambo wa jiji kama kiongozi tunajenga picha gani kwa wananchi tunaowaongoza

hivi kikwete kuruhusu wanyama hai wasafirishwe, ni chabuungwana kweli...
 
Back
Top Bottom