Ephata Nanyaro ajitosa kugombea uenyekiti BAVICHA Taifa

Ephata Nanyaro ajitosa kugombea uenyekiti BAVICHA Taifa

nanyaro hana weledi wa kuwa kiongozi tangu alipompiga mgambo wa jiji akitekeleza majukumu yake.hafai kabisa afukuzwe kwenye chama
kufanya fujo na vurugu ni sifa mojawapo ya kuwa kiongozi chadema. kwa hiyo hilo lisikupe shida hata kidogo.
 
nanyaro. ben., yericko, bavicha watatoana roho mwaka huu
 
Huyo ndiye.mwkt maana nimchaga nakatumwa
 
Hongera Nanyaro kwa nia yako hiyo.Kwa kuwa wewe ni member huku jf chonde uje uthibitishe haya.Ikiwa haya ni ya ukweli basi nakushauri usonge mbele wewe ni aina ya vijana wenye uwezo mkubwa wa kiuongozi
 
Hongera kwa kutangaza nia na ujue unaenda kushindana na ukishindwa kuwa muungwana waunge mkono watakaochaguliwa na kuijenga Chadema
 
Back
Top Bottom