leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,439
- 1,850
Nyumba ya mkojo ni noma
Kumbe misambwanda ilikuepo since day oneSio mbaya tujikumbushe enzi zetu cc wahenga, nikijalibu kuangalia miserebuko na mapigo ya siku hizi za kalibuni tofauti ni kubwa sana, enzi zetu binti ilikuwa akivaa moka za kiume hata hajistukii,
Hizi ndizo serebuko adimu kwa sasa.
View attachment 910937
Kama Dai, zamani yake...tehteehh View attachment 910962
Hizi pigo zilikuwa zenyeweSio mbaya tujikumbushe enzi zetu cc wahenga, nikijalibu kuangalia miserebuko na mapigo ya siku hizi za kalibuni tofauti ni kubwa sana, enzi zetu binti ilikuwa akivaa moka za kiume hata hajistukii,
Hizi ndizo serebuko adimu kwa sasa.
View attachment 910937