Tatizoo ni kuwa umeshazeeka,hupati tena nafasi uliyokuwa unaipata ulipokuwa kijana hujapata heshima yoyote kwa sababu ya kiwango chako duni,Kafundisheni na maslia mwenzako,mwenzio anaenda kufundisha chuo ila kilaza kama wewe kafie shule za sinti kayumba huko.
sawa yeye na hata zito ni vilaza kabisa, nyie bakini na ma-genious lema na mbowe............siumeona hata matokeo ya kata majuzi chama kinavyochanja mbuga kukamata nchi???!!!
hayo ni sehemu ya 'matunda' ya hao makamanda!!!!!!!!!!!!