Enzi za ujahilia, CHADEMA nilipotea

Enzi za ujahilia, CHADEMA nilipotea

Tatizoo ni kuwa umeshazeeka,hupati tena nafasi uliyokuwa unaipata ulipokuwa kijana hujapata heshima yoyote kwa sababu ya kiwango chako duni,Kafundisheni na maslia mwenzako,mwenzio anaenda kufundisha chuo ila kilaza kama wewe kafie shule za sinti kayumba huko.

sawa yeye na hata zito ni vilaza kabisa, nyie bakini na ma-genious lema na mbowe............siumeona hata matokeo ya kata majuzi chama kinavyochanja mbuga kukamata nchi???!!!
hayo ni sehemu ya 'matunda' ya hao makamanda!!!!!!!!!!!!
 
Hujui chama cha prezooo na maslia mwenzio mpaka sasa? You must be kidding!
ACT=Alliance Charter for Traitors like you au ATC=Alliance for Traitors and Charity.Kipi kinakufaa?

hakuna kinachonifaa,,nitajie vingine,,,,,,
 
601977_509802625739073_1842473603_n.jpg
 
Ujumbe gani, sana sana yeye mleta ujumbe ndo ana maumivu makali. Alifikiri kufanya kazi chamani ni kupata hela bwelele bila kufanya kazi. Mwambie aende ACT.

kwa uchache tu.....demokrasia ya kihawayani kama ya ccm, ubaguzi (baadhi ya viongozi kuchaguliwa marafiki huku wengine hilo halifanyiki), upendeleo haswa viti maalum, maadili mabovu (mwenyekt kutafuna viti maalum wa chama chake.....bora hata angekuwa kutoka maccm!)....................
 
ma'ccm kwa kurubuni hamjambo, mnanunua skafu za chadema halafu mnapiga picha nazo ili mjifanye mlikuwa chadema? wendawazimu tu nyinyi, hata mm naweza kuvaa migwanda yenu ya kijani na nikapiga picha kasha najifanya nilikuwa ccm, najua mnaogopa kuchweka mtaani na mavazi ya kijani sasa mnabuni mbinu mpya ya kuvaa sare za chama, nyambafu kabisa.
 
upuuzi huu upo chadema na ccm tu,,,NA BADO.

Hata masalia wenzako (Mwampamba et al) walisema vivyo hivyo lakini kipi kimebadilika? Zito nae alikuja na speed mia kwenye vyombo vya habari akiuza udaku wake, yuko wapi sasa? Sembuse wewe nobody, mtupu wala huhesabiki chamani kama upo ama haupo? Hamchelewi kusema viongozi wako too local wakati wenyewe hamjajipima na u local wenu!

Huna influence wewe, tulia, na kafanye shughuli zako za ujenzi wa taifa kwani siasa zako njaa chadema hupawezi!
 
Unaweka kabisa na namba za simu iliwakutafute upewe kamkate uzidi kuishi ? You are simply empty headed haiwezekani wewe ukawa huna maisha kila siku ni chadema tu . Get something to get your life rolling bro . Mwenzako Sixgate kesha ukwaa u 300,000 kwa siku .Kimya wewe bado upo na njaa zako JF .Anzisha Chama chako au ingia CCM shiriki siasa huko lakini kwa njaa hizi I doubt kama unaweza kuwaza bila tumbo .Pole sana .

Huyu jamaa atakuwa kaolewa na mwigulu.............awaulize akina shonza na mwenzake wako wapi. Saaizi wanafua nguo za nape. Ila ukweli mi9jitu mingine bana, unawenza ukaamka asubuhi ukamshauri mtu ahamie ccm kweli km unaakili sawasawa? Rujajibu kufikiri kwa kutumia kichwa
 
weka Verified user Njano5 maana hii TIMU UZALENDO tutasikia mengi
Paka wana lialia,
Jikoni wamejilalia,
Nchi ingejipatia,
Nguvu nilizojitolea,
Ajabu najionea.

Ajabu najionea,
Wachache wajijengea,
Ngome za kujilindia,

Viti walivyo kalia,
Mafurushi wajilia.


Mafurushi wajilia,
Bila haya nawambia,
Tena wanasingizia,
Gharama walizingia,

Risiti wa'zi chezea.
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa atakuwa kaolewa na mwigulu.............awaulize akina shonza na mwenzake wako wapi. Saaizi wanafua nguo za nape. Ila ukweli mi9jitu mingine bana, unawenza ukaamka asubuhi ukamshauri mtu ahamie ccm kweli km unaakili sawasawa? Rujajibu kufikiri kwa kutumia kichwa

ni kwel kamanda kumshauri mtu kwenda ccm yataka moyo - ila sasa mbona na chadema (VIONGOZI) wanaiga yale yale ya ccm......tofauti iko wapi?!
 
ma'ccm kwa kurubuni hamjambo, mnanunua skafu za chadema halafu mnapiga picha nazo ili mjifanye mlikuwa chadema? wendawazimu tu nyinyi, hata mm naweza kuvaa migwanda yenu ya kijani na nikapiga picha kasha najifanya nilikuwa ccm, najua mnaogopa kuchweka mtaani na mavazi ya kijani sasa mnabuni mbinu mpya ya kuvaa sare za chama, nyambafu kabisa.

ama kwel ukipenda kipofu utaita chongo....yaani umewekewa hadi picha ya 'aliyekuwa' kamanda lakini bado unabaki kusema alikuwa gamba?!
by the way hata mada za Njano5 za mwanzoni zinathibitisha hivyo, sumbua kichwa kdg usikariri tu kama kasuku!!
 
ma'ccm kwa kurubuni hamjambo, mnanunua skafu za chadema halafu mnapiga picha nazo ili mjifanye mlikuwa chadema? wendawazimu tu nyinyi, hata mm naweza kuvaa migwanda yenu ya kijani na nikapiga picha kasha najifanya nilikuwa ccm, najua mnaogopa kuchweka mtaani na mavazi ya kijani sasa mnabuni mbinu mpya ya kuvaa sare za chama, nyambafu kabisa.

.............rudia kusoma post yake namba 84 hapo juu, nxt tym usikurupuke kama lema!!
 
ama kwel ukipenda kipofu utaita chongo....yaani umewekewa hadi picha ya 'aliyekuwa' kamanda lakini bado unabaki kusema alikuwa gamba?!
by the way hata mada za Njano5 za mwanzoni zinathibitisha hivyo, sumbua kichwa kdg usikariri tu kama kasuku!!
wee boya kwani zitto si alikuwa naibu katibu mkuu wa chadema huku akitumikia ccm? huyo ni kamanda wenu na mission imeshafeli, kuna na wengine madiwani wa chadema shinyanga mtakutana nao huko, jana ma'ccm mmeshawahonga wajiudhuru, goodluck5 = njano5 mbon mnapenda sana hii namba 5?
 
Last edited by a moderator:
wee boya kwani zitto si alikuwa naibu katibu mkuu wa chadema huku akitumikia ccm? huyo ni kamanda wenu na mission imeshafeli, kuna na wengine madiwani wa chadema shinyanga mtakutana nao huko, jana ma'ccm mmeshawahonga wajiudhuru, goodluck5 = njano5 mbon mnapenda sana hii namba 5?

ukiondoa porojo za vijiweni, hakuna sehemu yoyote kumewahi kutolewa ushahidi (vielelezo) kuonesha zitto akitumikia maccm, ni mambo ya hisia tu ndo maana baadhi yetu 'tukichanganya' na zetu tumegoma kukubali!!
bahati mbaya ufuasi unamfanya mtu kuwa kipofu wa akili hivyo kushindwa kuchanganya za zake!
 
Matokeo ya kata zipi? una maanisha shule za kata za Lowassa na Kikwete au kata za uchaguzi?
kama ni kata zilizofanya uchaguzi ni kwamba hakukuwa na mshindi,maana ccm wamewanyang'anya cdm kata muhimu ya Nyasura Bunda ilhali cdm nao wakawanyang'anya ccm kata muhimu sana ya Sombetini(hapa lazima ukubali kuwa lema ni genious wa siasa) na nyingine ya Njombe mjini.Au NCCR kuchukua kata iliyokuwa ya chadema Kigoma kwa prezidaa ni sawa na ccm?
kweli wewe ni mfuasi wa rat killer!!
 
Back
Top Bottom