chama cha ubaguzi,,,kinatumia fedha za ruzuku vibaya na hakina demokrasia wakiita cha cha kimunguuu,,,acha kufuru
Ndugu Mzito mmefikia wapi uanzishaji wa ACT?
chama cha ubaguzi,,,kinatumia fedha za ruzuku vibaya na hakina demokrasia wakiita cha cha kimunguuu,,,acha kufuru
Ugonjwa wako kwa sasa hauwezi kupona kwani umeshaanza kushambulia ubongo, hivyo unakaribia kuwa chizi epuka kuingia mkataba Wowote katika hali uliyonayokwani hautatambulika kisheria ...
DOGO mbona NCHI HII INA VYAMA VINGI SANA , ACHANA NA CDM UTAOTA KIBYONGO BILA SABABU YOYOTE , MASALIA NDIYO BASI TENA !
kweli mmeona muanze kukimbia na kumsema kiongozi wenu slaa
kweli watanzania ni wa tu wa ajabu sana wanahaha kama maji
yalioyokosa mwelekeo
achia na wengine wapost
ile program ya kugawa zile dvd za kariakoo bure imeishia wapi mkuu ?
Sitaki kuamini wewe ndiwe Njano5. Ila kama ndiwe, hakika Jalia ni zaidi ya majahilia; "kaburi" lako liwe makao ya shwaitwan na mafuasi wake; msaliti mkubwa.
sawa bana,sisi wazinifu,nyie wasafi
DOGO mbona NCHI HII INA VYAMA VINGI SANA , ACHANA NA CDM UTAOTA KIBYONGO BILA SABABU YOYOTE , MASALIA NDIYO BASI TENA !
Babu anawatumia,
Yake yana muendea,
Yenu yana didimia,
Paka wana lialia,
Jikoni wamejilalia.
View attachment 141374
Enzi za Ujahilia,
CHADEMA nilipotea,
Namshukuru Jalia,
Kwani ameniokoa,
Loo! sasa najutia.
Enzi za ujahilia,
Nikikumbuka nalia,
Namshukuru Jalia,
Kwa aliyonitendea,
Hakika nilipotea.
Hakika nilipotea,
Njia niliyoiendea,
Kila nikifikiria,
Moyoni najisemea,
Rasini nilitimia?
Enyi mliobakia,
Dua ninawaombea,
Mpate kuiendea,
Njia ya kujitambua,
Nchi kuitumikia,
Babu anawatumia,
Yake yana muendea,
Yenu yana didimia,
Paka wana lialia,
Jikoni wamejilalia.
Paka wana lialia,
Jikoni wamejilalia,
Nchi ingejipatia,
Nguvu nilizojitolea,
Ajabu najionea.
Ajabu najionea,
Wachache wajijengea,
Ngome za kujilindia,
Viti walivyo kalia,
Mafurushi wajilia.
Mafurushi wajilia,
Bila haya nawambia,
Tena wanasingizia,
Gharama walizingia,
Risiti wa'zi chezea.
Hayo yakiendelea,
Kasheshe ipo Songea,
katibu ajionea,
Paka walio zoea,
Jikole kulichezea.
TIMU UZALENDO.
Njano5.
0784845394.
Naona ulitaka tuone picha yako!
sio vibaya ukikiri na ujumbe wake 'umekuingia' vizuri pamoja na kwamba haumpendi mleta thread.....................