utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Chadema ni genge la waovu waliovaa ngozi ya kondoo kumbe ni mafisi
Hongera sana kwa ufunuo ulioupata, mungu anamuongoa ampendae
Chadema ni genge la waovu waliovaa ngozi ya kondoo kumbe ni mafisi
Tatizo lako unatumia kichwa kufugia nywele tuu, af unafikiri kwa kutumia tumbomungu? kweli lumumba majanga. au ulimaanisha Mungu? ila jinahili hujalizowea, umezowea Alaa za mashetwani
Chadema ni tindikali, sumu, mabomu na utekaji na utesajiachia na wengine wapost
Chadema ni wabaguzi na udini ndio mana kila mlipo mnafikiria udini udini tuSasa uko CUF? Yetu masikio utatoka huko ukitukana DINI!
Hoja zako zote na msimamo wako woote una meseji nzito kuliko unachotaka watu waamini. Unachojifanya kukipinga ndicho kimekupa nafasi ya kuwa mtetezi wa CCM... Unaowaita wabaguzi ipo siku wataujua ukweli kuwa wewe si mwana CCM isipokuwa kile unachosema watu wamekibeba ndicho kimekusukuma kwenda CCM?Chadema ni wabaguzi na udini ndio mana kila mlipo mnafikiria udini udini tu
Siamini kuwa wewe ni mwana CCM halisi ila upo kwa malengo...Chadema ni tindikali, sumu, mabomu na utekaji na utesaji
Haya usemayo si maneo ya ki-CCM bali kile kinachokusukuma ujiite mwana CCMChadema ni genge la waovu waliovaa ngozi ya kondoo kumbe ni mafisi
pamoja tuseme na bado.
Sitaki kuamini wewe ndiwe Njano5. Ila kama ndiwe, hakika Jalia ni zaidi ya majahilia; "kaburi" lako liwe makao ya shwaitwan na mafuasi wake; msaliti mkubwa.
si muda mrefu utakuwa kichaa kabisa!! CDM ni mpango wa Mungu,mapepo yote lazima yatoke!