Enzi za ujahilia, CHADEMA nilipotea

Enzi za ujahilia, CHADEMA nilipotea

Anaejitambua hawezi kubaki chadema,hata mimi nikiiangaliga kadi yao pia nikitafakari jinc nilivyokuwa sili silali kwakuwahi vikao vyao!Aisee najiona nilikuwa bure kabisa kichwani.Ahsante mungu kwakunitoa upofu niliojipa kwa makusudi!
 
Ndugu Mzito mmefikia wapi uanzishaji wa ACT?

Nafikir jibu la swali lako umeshalipata, ACT ndio chama kukubwa baada ya CCM na CHADEMA.

ndio chama kinachoongoza kwa ukuaji na usambaaj wa haraka kuliko chama chochote kwa sasa.

Kwel enz za ujahilia chadema nilipotea
 
Nafikir jibu la swali lako umeshalipata, ACT ndio chama kukubwa baada ya CCM na CHADEMA.

ndio chama kinachoongoza kwa ukuaji na usambaaj wa haraka kuliko chama chochote kwa sasa.

Kwel enz za ujahilia chadema nilipotea

Lakini Naona Kwa Staili Yako Bado Upo Kwenye Ujahilia Kwa Siasa Za Bongo Bora Uwe Kimya Tu Uondokane Na Ujahilia.
 
View attachment 141374
Enzi za Ujahilia,
CHADEMA nilipotea,
Namshukuru Jalia,
Kwani ameniokoa,
Loo! sasa najutia.

Enzi za ujahilia,

Nikikumbuka nalia,
Namshukuru Jalia,
Kwa aliyonitendea,
Hakika nilipotea.

Hakika nilipotea,
Njia niliyoiendea,
Kila nikifikiria,
Moyoni najisemea,
Rasini nilitimia?

Enyi mliobakia,
Dua ninawaombea,
Mpate kuiendea,
Njia ya kujitambua,
Nchi kuitumikia,

Babu anawatumia,
Yake yana muendea,
Yenu yana didimia,
Paka wana lialia,
Jikoni wamejilalia.

Paka wana lialia,
Jikoni wamejilalia,
Nchi ingejipatia,
Nguvu nilizojitolea,
Ajabu najionea.

Ajabu najionea,
Wachache wajijengea,
Ngome za kujilindia,
Viti walivyo kalia,
Mafurushi wajilia.


Mafurushi wajilia,
Bila haya nawambia,
Tena wanasingizia,
Gharama walizingia,
Risiti wa'zi chezea.

Hayo yakiendelea,
Kasheshe ipo Songea,
katibu ajionea,
Paka walio zoea,
Jikole kulichezea.

TIMU UZALENDO.

Njano5.
0784845394.

Tangia nijiunge na JF sijawahi kuona mashahiri yaliyoenda shule kama haya. Wewe ni hazina kubwa ya nchi hii.
 
Back
Top Bottom