johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,877
Ananieleza Mzee Mgaya kwamba Rais Magufuli ni mkali lakini ni muungwana na mvumilivu sana.
Enzi za Mwalimu Nyerere huyu Kabwe angekuwa kizuizini muda huu akichunguzwa juu ya kauli zake za mara kwa mara zilizojaa uchochezi, anaeleza MzeeMgaya.
Waziri katumbuliwa na kosa lake limeelezwa wazi lakini anaibuka Mbunge anadai Waziri kamzunguka Rais ndio maana katumbuliwa, Nyerere asingemvumilia huyu mchochezi vyombo vya dola lazima vingemuhoji, amemalizia mzee Mgaya.
Maendeleo hayana vyama!
Enzi za Mwalimu Nyerere huyu Kabwe angekuwa kizuizini muda huu akichunguzwa juu ya kauli zake za mara kwa mara zilizojaa uchochezi, anaeleza MzeeMgaya.
Waziri katumbuliwa na kosa lake limeelezwa wazi lakini anaibuka Mbunge anadai Waziri kamzunguka Rais ndio maana katumbuliwa, Nyerere asingemvumilia huyu mchochezi vyombo vya dola lazima vingemuhoji, amemalizia mzee Mgaya.
Maendeleo hayana vyama!