Mbona Zitto kagonga penyewe.Zama zinabadilika... Na wewe ubadilikage...!
Ndo maana babu zako hawakuwahi kumiliki simu na maisha yao yalisonga bila wasi wasi!
Kwako wewe bila simu ya kupangusa maisha ni kama yana stuck stuck!
Zitto yupo very right... Hata ukimfufua Mwl. Nyerere atakubaliana nae!