Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Ahahahaaah!!! Mkuu Mazwi ya wapi? Ya Headmaster Yamsebo!!Daa wanajamvi mie nakumbuka tulipo fika 2 form one pale Mazwi secondary, tulikumbana na kwataa kwa wiki sita nakumbuka jamaa walitupigasana mabuti na mitama