Enzi Hizoooooooooo RIP

Zamoyoni mogela akimtambulisha method mogela,huku hamis gaga husen masha wakiangalia.
 
Hivi siku hizi kuna vipaji kama walivyo kuwa hao?
Akina Sunday Manara nk.
 
Hii si ndio ile timu wakati wa Hassan Hafif?
 
Zamoyoni mogela akimtambulisha method mogela,huku hamis gaga husen masha wakiangalia.
Huyo mmoja ambaye sura yake imetokeza begani kwa Zamoyoni Mogella na Khalfan Ngasa a.k.a Babu. Baba wa Mrisho Ngasa. mwingine ndio simkumbuki.
 
yeah ni yeye mkuu, huyu jamaa alifariki akiwa bado mbichi kabisa na kifo chake kilitokea ghafla mno baada ya kuugua kwa muda mfupi sana

Ni yule mfungaji magoli Simba na Yanga? Aisehhhhhhh !!! Inaelekea vipaji vinaua.
 
Enzi hizo mpira mnausikilizia redioni kwenye duka la mangi ilikuwa raha sana. Unamsikia mtangazaji ..... Zamoyoni anakwendaa....anakwendaaa... Zamoyoni.......Zamoyoni.......anakwendaaaa....anakwendaaaa.anapiga chenga pale Zamoyoni..... anakwendaaaa.anapiga shuti pale gooooooooo...laaaaaa.ananyaka vizuri pale golikipa. Watu walishashangilia zamaaani wanarudi kwenye benchi wamenyweaaaa...
 
Huyo mmoja ambaye sura yake imetokeza begani kwa Zamoyoni Mogella na Khalfan Ngasa a.k.a Babu. Baba wa Mrisho Ngasa. mwingine ndio simkumbuki.

Nadhani ni Bakari Iddi rip
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…