Enzi hizo ukiwa nayo hii unatesa....!!!!

Enzi hizo ukiwa nayo hii unatesa....!!!!

Mamangu alianza na hiyo Philips na aliipenda balaa hadi anafariki dunia nilijaribu mara kibao kumletea simu nyingine alikataa katu katu!!!!!
 
Wacha kabisa mambo ya siemens C25 , hiyo Philips Savvy ilikuwa ni miongoni mwa simu chache zenye vibration enzi hizo natumia Mobitel 0741
 
Hizo zote bado za kisasa, hii je?

Enzi za mawe hazikuisha kwa sababu watu waliishiwa mawe?

Innovation Blaza!

dkmb86g_487pr55s2hc_b.jpg
 
images


Nilianzia hapa mkuu. Bado ninayo kwenye Safe Mkuu..
 
Ukiweka mfukoni kama hujavaa mkanda suruali inavuka...
 
Dole gumba...nakumbuka zilikua na vimfuko vyake vina mkanda unaonekana mjanja ukivivaa..tumetoka mbali.
 
Hizo zote bado za kisasa, hii je?

Enzi za mawe hazikuisha kwa sababu watu waliishiwa mawe?

Innovation Blaza!

dkmb86g_487pr55s2hc_b.jpg

hii ilikuwa ni landline ila wireless mkuu na ilikuwa ni lazima muda wake mwingi uweke kwenye lile likichwa lake ili kutunza chaji but unaweza zunguka nayo kiasi chaje. we had it once back in 1994
 
Back
Top Bottom